Habari Ndugu wana Jf,naomba msaada ovistore ya Nokia X2-01 inazingua kudownload kila nikiingia nikitaka kudownload inaniambia link not available try again.
Asante
Wana wa familia hii ya JF natumai mko poa,
Tafadhali naombeni kwa anayefahamu juu ya hili tatizo lililoikumba simu yangu ya Nokia101,nikiiwasha yanatokea maandishi ya LOCAL MODE basi halafu...
wana jf hebu nielewesheni katika simu nyingi ninazonunua katika call setting kuna huduma wanaita call waiting hivi maana yake ni nini na ina umuhimu gani?
Wataalamu,
Nimeletewa simu samsung ila kuna apps zinakuja na maneno ya kichina kwa mfano Opera,Browser yake(simu),na Apps nyingine ila sio zote
Thanks in advance...
jamani nimepokea zawadi ya simu mbili moja ni Nokia e71 ipi ni bora kwa kuperuzi na uimara na Nokia asha 303 moja kati ya hizi nataka kumgei bwana mdogo me nibaki na imara kwa kuperuzi...
Wakuu mie nimestuck kabisa,
Nina Blackberry 8520 yenye os ya v 5.0 na computer yenye windows 7 ultimate. nimejaribu kudownload desktop manager kutoka kwenye website ya blackberry lakini napata...
wadau nimepewa modem ya vodaphone mobile broadband model K 3806,sasa nimejaribu kuinstall inakataa kuconect ili nipate 'wazungu'.Sijajua modem hii inafaa kutumika hapa kwetu TZ au la.Naomba wenye...
Hello to you all!
You have heard of E = mc2 ..., but you probably haven't heard of the whole story!
Now, listen to this YouTube Video.
E = mc2 is incomplete!
Habar wanaJF, ninatumia window xp kwenye pc yangu na sijawahi kuweka password ila leo asubuhi nimewasha pc nikashangaa kuona inadai NTpassword. Mwenye kuzijua naomba anisaidie tafadhali!
Habari wandugu, pc yangu ilipata matatzo ya window nikaipeleka kwa rafki yangu ainstall windo mpya.... Kwa bahati mbaya wakat wa kuinstall akaformat local disc D iliyokuwa na data zangu...
kuna samsung galaxy s4 inauzwa kwa bei ya 670$ tu brand new with box na vifaa vyake vyote complete set toka dubai with one year warranty withit.contact me by my email chokamb@hotmail.com or...
habari ya hali zenu wadau wa jukwaa hili jf,wandugu mja wenu nahitaji usb cable ya nokia 2330c2 au any utility ambayo naweza tumia kuflash hiyo phone tajwa(nokia 2330c2), kwa sasa nipo mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.