Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau ningependa kujua ni ipi hasa tofauti ya izo fani ,kwa anaejua tafadhali anisaidie..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
naamini mnapita mahala hapa na kusoma. Tigo wamekuwa na mtindo wao wa huduma kama kaban'g, extrem etc, ukijiunga na huduma hiyo unajikuta hatasalio lako lilo kuwepo lina pungua kadri mda unavozidi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hack Trial Software If you have software that has the trial period and you want to use it forever without paying any registration fees, than there is no complex hacking required or you don’t...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Heshima mbele, 1; Tafadhali msaada nahitaji kuedit jina kwenye e-mail address ya gmail. 2; Kuanzisha group kupitia e-mail hiyo. Msaada tafadhali namna ya kunani na hiyo maneno.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau naomba msaada wa key za Kespersky antivirus nimekuta blocked ghafla na inaniambia "License: blocked"
0 Reactions
2 Replies
987 Views
wakuu nilikuwa najaribu kubadili user name,then nikafanikiwa but files nilizo ziserve kabla zimeishia na ile username ya kwanza na sikumbuki a password yake,please mwaweza nielekeza how to log in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habar zenu wadau
0 Reactions
3 Replies
703 Views
jamani naomba nielezewe hii facult inakuaje kuaje.inafanana na computer science au computer engineering.msaada wenu plz
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Nina laptop ya Dell, Latitude D 531. Hii laptop ina matatizo ya keyboard. Nataka kuingia kwenye Bios nakutana na password. Nitafanyaje niweze kui-disable hii password. Jamaa aliyenipatia hii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza samsun s2 tsh lak 6
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Habar wanajamii nahitaji msaada wenu jamani kuna computer moja ni desktop compaq tatizo hii mashine ukiwasha inaboot vizuri then ina kuandikia going to sleep na taa ya kwenye monitor inabadilika...
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Habari wana Jf nimetokea kuipenda simu hii ya Nokia Lumia 800 sijui hapa Tz yetu hususan dar nitapata kwa shilling ngapi?
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Hello Du mm nimeamia basi la blue ghafla make haka ka basi kakubundika sijui mabundi walimaliza bandwidth zote jana usiku au nn? Anybody experiencing same Technical Problem
0 Reactions
2 Replies
725 Views
Wataalam jamani nna maswali mawili matata,naweza kupata nilesat 201'W kwa dish la ft 6 na strong srt 4653x hapa dar?kuna uhusiano gani kati ya lnb skew au tilt na dish size?kama ntakuwa nimekosea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Facebook imefuata mkondo Twitter kwa kuanzisha akaunti na kurasa zilizothibitishwa (verified pages/ accounts) ili kuwawezesha watu mashuhuri kuthibitisha akaunti akaunti na fan page zao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jukwaa la Tech! Nina Camera Digital Sony Cyber - Short. Kila nikiunganisha na USB cable kwenye Pc inakataa kusoma kabisa picha zilizokuwa kwenye Memory iliyoko kwenye Camera...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
jaman hv naweza kupata display mpya ya simu ya nokia asha 311 touch screen kwan simu yangu ilianguka so ina clek,naomba msaada wap naweza kupata!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
With the Samsung Galaxy S4 now out of the way the door has been thrown open for the Korean firm's other high-end smartphone to get a reboot in the form of the Samsung Galaxy Note 3. Rumours...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari, naomba msaada nina movie nyingi kwenye PC lakini chache ndo zinacheza kwenye deck ya tv yangu. Nauliza ni issue ya deck yangu au kuna aina za format za movie hazichezi kwenye deck...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni siku ya tatu leo sipati huduma pamoja na kulipia kwa wakati ,ukipiga simu sehemu ya huduma kwa wateja hawapokei na ukituma taarifa kwenye ukurasa wao kwenye FB hawajibu,wanachagua ni majibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom