Nimenunua original simu ya nokia lumia 510,tatizo ni kwamba simu hii inanisumbua ktk kukata simu baada ya kumaliza kuongea,haikubal hata kidogo,msaada wadau
habari wakubwa zangu, naitaji kutengeneza page ya facebook bila ya kuwa na account ya facebook account ili niitumie kama account yangu ya facebook. mfano page ya www.facebook.com/fullsoka
pia...
WanaJF,
Natafuta computer aina ya lenovo think pad mpya ma used kwa bei nzuri mwenye nayo tuwasiliane.
Kama ni used na ipo kwenye hali nzuri ntatoa laki saba, hii itategemea na hali ya...
Wakuu,
nimeletewa new version ya Internet browser kwenye Nokia yangu Asha 200, lakini baada ya ku'update nikifungua inaniambia 'conflicting application' nikibofya kuonesha hzo conflicting apps...
Mimi narusha picha kwenye cable kwa kutumia Amplifire na Booster .Naomba kuelimishwa kuhusu FAIBA Siielewi kabisa ikiwa ni pamoja vifaa vyote vinavyohusika ikiwezekana na gharama. Nataka kubadili...
5-better multitasking
uwezo wa ku switch kutoka app moja mpk nyingine instantly
4.automatic update
app ikitoka update yake kama ni kufix bug au perfomance improvement basi yenyewe tu ijiupdate...
guys nina 8GB imation flash!! Nilikua nahamisha file la 1.9GB from PC, at the middle of that ikaleta hiyo error, since that haingizi data wala kutoa, kila ukijaribu inaleta hiyo error, pia...
Msaada wenu wakuu screen yangu.inadisplay marangi rangi tu na blur afu picha inaonekana kwa nyuma ya hayo marangi. nimejaribu kugoogle sijafanikiwa natumia toshiba satellite c850
Front page | Sitemap | Fun | Unlock | Miscellaneous | Free SIM Unlock Nokia | Free SIM Unlock Nokia with Code Calculator | Free SIM Unlock Nokia online...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.