habari hili tatizo la laptop yangu kuzima mara kwa mara linasababishwa na nini unatype inazima yenyewe na hdd haijajaa nini tatizo wakuu wenye ujuzi anisaidie fen inazunguka inaweza ikawa overheat...
16/03/2013
"Makoti" ya Android: Sehemu ya 1
Sifa kubwa ya Android ni kuibadili upendavyo. Watengeneza simu wa kampuni kubwa huivalisha OS ya Android "koti" ili kuitofautisha na Android...
Wadau JF,
ni siku nyingi sasa tangu nimesikia hii "acronym" IPP. Je, inasimama badala ya maneno gani, namaanisha kirefu chake. Naomba mwenye ufahamu anijuze.
Asanteni sana.
Heshima yenu wakuu.
Natumia Firefox katika kuingia mtandaoni lakini tangu Fonts naona zimekuwa ndogo sana kiasi kwamba nashindwa kusoma. Naomba msaada wa kuongeza font size kutoka kwa yeyote...
Marais wa Tanzania na Teknolojia
Sisi katika Gajetek siasa si mchezo wetu, sisi na gajeti na gajeti na sisi. Lakini leo katika kucheza na gajeti zeetu tukaamua kufanya maongezi na...
siku kadhaa zilizopita nilaomba mssada kuhusu error msg chini kwenye phpmyadmin
mimi kutokana na ugeni wangu wa database nilidhani ni tataizo kumbe sio tatizo. ila pia ukitaka kuitoa inawezekana...
wadau naomba msaada sumtime nikiwasha laptop yangu hasa hasa ninapokuwa nimeweka modem au flash kipindi nawasha.......the niki remove flash au modem kama ipo inawaka as usual.
(CNN) --An Apple product may help keep the doctor away in Tanzania.
In a discovery that provides doctors in remote areas with an alternative, scientists recently created a microscope using an...
Samsung Galaxy S 4 vs. iPhone 5 vs. HTC One vs. Nokia Lumia 920
Galaxy S 4
iPhone 5
HTC One
Lumia 920
Screen Size
5 inches
4 inches
4.65 inches
4.5 inches
Resolution
1920x1080...
Wadau nahitaji msaada kidogo kama nilivyonena hapo juu.Ninatumia Dell Latitude E5420 ina sehemu ya kuweka line ya simu,nimejaribu kuunganisha iyo line ili nitumie kwa internet nimeshindwa,msaada...
Tuna organization ambayo itaanza fanya kazi hivi karibuni. Nimeamua kutengeneza just a simple website kwa ajili ya organization. nimetumia free hosting ila nkimaliza i build ntalipia kabisa...
If you visit a cyber cafe and find find any black pin attached to the CPU as shown in the picture, do not use that system. This pin is actually a connection which saves all your data you enter in...
Wadau'
naomba msaada wenu kuna zuku imewekwa hapa ndani mpya kila ukibonyeza inaomba password. nisaidieni. au inaanfika service is currently scrambled.
nifanyeje wadau maana mawakala ninaoongea...
Wakuu heshima iwe kwenu,Kila ninapojaribu kuinstall application yoyote kutoka Play Store inagoma inaniandikia ujumbe huu,"WhatsApp Messenger" could note be downloaded due to an error(403)...
Mambo kadhaa muhimu yamejitokeza baada ya uzinduzi wa simu mpya ya Samsung. Tutazungumziamuelekeo wa habari zinazoanzia Marekani dhidi ya kampuni ya Samsung. Kampuni ambayo inafanya mauzo makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.