Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
katika pitapita zangu nikona hii The table following shows the 33 bundles available from the four major cellphone data providers. Bundle = name from the provider; MB = megabytes of data provided...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni mteja wa Vodacom na simu yangu ni Iphone 3gs. Katika matumizi ya kawaida nikapata sms kutoka Vodacom inayoniambia ni follow link hiyo ili nifanye setting ya internet. Kila nikiclick...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau kama swali linavyouliza hapo juu nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu gharama za internet kuwa ghali lakini sikuwa na jibu kwa wakati wote huo. Kwani kuna tofauti gani ya gharama ya kupiga simu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
tafadhal wataalam naomba kuelekezwa namna ya kuondoa key ambayo inatokea kila unapotaka kuandika kitu kwenye computer?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naombeni mtu mwenye Windows xp anipe links ya kudownload. Matanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
758 Views
naomba kujua modules zinazotakiwa unapotaka kutengeneza application au project ya saccos management system.msaada pls.
0 Reactions
3 Replies
906 Views
Hi All, Don't forget that Today 11th March, 2013 we are going to have our monthly Mobile Monday Dar es salaam event. The event venue is KINU Innovation Space and this month theme is ICT in...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Habari za leo wanaJF, Ningependa kupewa somo ni jinsi gani ninaweza kuzuia au kulimit bandwidth ya computer moja au zaidi ya moja zilizoko kwenye wireless network ili niweze kubana matumizi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wale wa i.t au kama una uji=zi na mambo ya kuedit videos,kupiga picha na kuzi photoshop na wale graphic designers there might be a chance to get a job cheki barua
0 Reactions
2 Replies
761 Views
Wakubwa nimedowlod piratebay b@rowser,then wakanambia nichuke na bitorrent kwaajil ya dowloading bt naclick dowload button,hadowload na baada kama sekund 0. 01,inaandka downlod completed.lakin...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
wadau naomba mnisaidie jinsi ya ku copy pics fro camera to laptop...natumia window 7 laptop hp, camera ya samsung...nimejarbu kutumia usb cable picha hazionekani na nimetumia card reader bado...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba mnijuze wapi naweza kupata betri la laptop aina ya Asus model K72 JR-TYQ 77D? Mwenye kujua zinapopatikana na bei yake anijuze please.
0 Reactions
1 Replies
665 Views
Nitanunua na kutest internet ya TTCL Mobile nione ikoje. Kilicho ni interest ni hizi bei zao mpya. Wameweka matangazo kwenye redio na other media kuwa sasa unaweza kupata modem ya ttcl kwa under...
1 Reactions
30 Replies
25K Views
ama kweli nimeamini hamnaga cha bure wakuu..nina laini mbili nyekundu... Moja ya kudraw nyingine ya kutumia kama kwaida.. Mwezi ulopita nilinunua mda wa maongezi kimakosa badala ya kutoa pesa...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Nokia lumia n naboya yan cwez kusev track nayopenda as ringtone hamna hio option ko ringtone lzm ziwe zike milio zao za kuboa2 aaargh km kna anaejua jinc ya kueka tupia apa bas
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kuna wakati mwingine firefox inakua ngumu kufanya kaz kwenye firefox kwa mfano huwez kuitumia kudownload yovube kwa sababu kadhaa, anyway hata iwe tatizo gani hii trick itafanya idm iweze...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
nokia lumia ni series mpya ya simu za nokia ambazo zinatumia operating system ya windows phone. kwa sasa zipo zinazotumia windows phone 7.5 na nyengine zinatumia windows phone 8 ila kwa sasa...
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Mnaikumbuka bolt browser? Browser iliyokua inaziwezesha hadi simu za mafungu kuangalia youtube? Sasa imerudi tena at this time sio bolt wenyewe walioirudisha bali ni hacking za proxies. Kuna...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Opera Software ASA wametoa hiyo browser mpya kwa watumiaji wa simu za android. Iko katika beta version yaani iko katika majaribio. Sijaitumia kwa kuwa sina simu ya android lakini kwa maelezo ni...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Naombeni kujua tofauti dhidi ya Ipad NA Tablet ========== By Millah Kaka kwanza pole kwa majibu ya ajabu, labda somo la kwanza kuwa makini katika kuuliza maswali ukumbi huu, watu ni wakali mno...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Back
Top Bottom