Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Heshima JF nilikuwa nauliza wadau kwa Bei ya simu Mpya hii nokia C5-3 kwa maduka ya Dar itakuwa ina range kati ya bei gani? Kwa wanaofahamu msaada!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau kama kuna mtu mwenye CS4 MAster Collection ya Windows aandike namba zake niwasiliane nae please
0 Reactions
6 Replies
952 Views
Wadau naomba msaada link nnayoweza ku download movies kwenye Samsung Tablet. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Moja ya matatizo ya smartphones ni kutokukaa na charge. Ya kwangu nilikuwa na charge mara mbili kwa siku. Lkn sasa inaweza kukaa na charge kwa zaidi ya saa 24, na mara nyingine kwa saa 48...
0 Reactions
4 Replies
956 Views
Boy scares off lions with flashy invention By Teo Kermeliotis, for CNN · Richard Turere, 13, has found an innovative way to protect his family's cattle from lions ·...
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Tumejiwekea mita za umeme katika vyumba ili kudhibiti matumizi ya umeme sasa Desktop computer langu linalamba sana umeme nalo PSU yake ni watts 160, naombeni maujanja angalau liweze kutumia moto...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wataalam naomba msaada hiv dish moja lenye lnb mbili kubwa na ndogo naweza share na mtu kwa kutumia receiver yangu? Je receiver inabidi ziwe sawa? Na ni vitu gani vinahitajika? na connection...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Nisaidieni ni mp tu maana ya mungu mengi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu, kwa anayejua naomba msaada... nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hey jinsi gani ya kuactivate trial version ya kaspersky kabla haijaisha baada ya kupata activation code coz nimeenda kwenye license bt wanakubali code n siku haziongezeki mwenye kujua hili aniweke...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kwa yeyote mwenye kuweza kuweka kioo cha laptop ndogo aina ya Accer baada ya cha awali kupata crack ani-pm
0 Reactions
1 Replies
2K Views
​hii habari nimeisoma kwenye blog fulani ya kitanzania na ingine ya Burundi, nataka kupata mawazo ya wadau wengine wenye data zaidi maana hakuna alieyajali baada ya hili tukio mwaka jana...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Waungwana Natafuta Mobile Tracker software kwa ajili ya Nokia X2-02. Nimetafuta sana kwenye Internet, sijapata lolote. Mwenye msaada anitumie PM. Asante.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba msaada wa program ya kuactivate window 7 ultimate kwenye dell,nimejaribu kudownload na kuinstal lkn bado inaandika 'window is not genuine'
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nifahamisheni! Ningependa kuwa mtengenezaji au muendelezaji (developer) wa software! Je, natakiwa nisome kozi gani na chuo gani hapa bongo kiko vizuri? Elimu yangu B.Sc. Ed. Ahsanteni!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu? Kwa wale ambao hamjaijuwa AdFly - The URL shortener service that pays you! Earn money for every visitor to your links. Adfly is a URL shortener service that will allow you...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, naombeni mnijuze jinsi ya kuunganisha g tab na internet kwa kutumia line ya vodacom nimehangaika sana na kuomba msaada bila mafanikio,ni g tab model P900
0 Reactions
0 Replies
1K Views
leo mozilla firefox wamezindua operating system yao mpya na wametangaza jumla ya mitandao ya simu 18 inawasuport pamoja na manufacture wa simu wanne lg, huawei, zte na alcatel. Simu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
moja kati ya kitu ambacho windows phone ameshindwa na android ni bei, simu njingi za wp zinauzwa bei ghali lakini leo nokia wamezindua simu za bei rahisi kabisa za windows phone. simu zote zina...
4 Reactions
45 Replies
14K Views
natumia dish futi 6 na receiver ya medaicom, hapo kabla lilikuwa napata chanel nyingi ikiwemo itv, tbc, ch5 bila shida sasa kutikana na sababu za ki miundombinu ilinilazimu kuliamisha mahali...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Back
Top Bottom