Wakuu nimekwama kidogo..mi si mtaalamu sana wa kutengeneza logo.nimejaribu kwa uwezo wangu kwa kutumia software ya aurora 3d ila tatizo linakuja jinsi ya kulisave niweze kulitumia kutengeneza...
Tazizo la computer ni km linavyoonekana kwenye picha, nimebadili hard disk, ram, screen tatizo bado liko palepale, hiyo mistari inakuja na kupotea wakati mwingne inajizima na kujiwasha. na kuna...
Wandugu naombeeni msaada nna android phone kutokana na wimbi la wezi nna tafuta application ya kuinstall kwa simu ili incase wakiiba I can be able to track the thieves ntashukuru,hata kwenye...
dah mazee mm ninatatizo hii airtel kwangu ina receive signal very slow i dont know y.hivyo wanaibana makusudi kwa hii bandle au vp.nina kua kama ctumii 3.75G hebu naombeni mawazo yenu kwa hili
Wapendwa tafadhali ninaombi moja tu la kupata FREQUENCY AND SYMBOLATE za chanels za Tanzania na nje Maana nimefunga LNB2 NA KU2 bt sina hizo frequency Tafadhali naomba ... Pia kma unazo za Zambia...
Jameni wandugu naombeni msaada, screen display ya hii laptop haijatulia kabisa. Maandishi yanatetemeka mpaka wakati mwingine screen inakuwa nyeupe kabisa. Je tatizo laweza kuwa nini?
Habari wadau,
samahani kuna mtu namtengenezea website ila anahitaji iwe katika kiswahili.Sasa kuna baadhi ya maneno naomba uhakika au msaada niyaandike vipi.Nimejaribu kufanya uatafiti baadhi yake...
Google ni ulimwengu wa uvumbuzi wa bidhaa na majaribio ya teknolojia, katika baadhi ya mawazo na uvumbuzi ambao Google wanaendelea kufanyia kazi kuna mambo ambayo sio ya kufirika, gari...
Kampuni iliyojipatia umaarufu kwa kutengeneza transformer tablet wamefanya uzinduzi katika maonyesho ya MWC huko Barcelona na kutangaza simu/tablet mbili kwa pamoja. Wakati wengi walitarajia kuwa...
Natmua intex tv tuner modelIT 200USB kwenye laptop yangu inayorun window seven proffessional tatizo nikiconnect na antennae moja kwa moja napata picha cpat saut n mckiko wa chenga ukitega sana...
Hello wana JF nime install ubuntu 12.10
sasa kila nikijaribu ku install skype inakataa tatizo ni nini? nimejaribu ku install hii
Microsoft Windows Compatibility Layer (meta-package)
ila napata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.