Nilishawahi eleza namna battery zinavofanya kazi lakini nimeona kuna wadau bado wanahitaji somo hili hapo chini;
Laptop nyingi zina auto turn off charging system ambayo yenyewe automaticaly...
Msaada ndugu zangu, nifanyeje ili kuweza kudownload file za musiki/cinema kwenye You tube?
vile vile ninawezaje ku-download Nigerian films kutoka site yoyote?
Nawasilisha
Watalamu,sina hakika kama hili swali lilishaulizwa na kutolewa maelezo humu,ila naomba tu kujua.Maana nimejaribu kugoogle,lakini napata majibu tofauti tofauti,ndo maana nimekuja humu ili kupata...
jina la simu inaitwa huawei 4africa kama upo familliar na huawei w1 then ni simu ile ile ila hii ipo pre bundled na apps zilizotengenezwa na waafrica.
kama kawaida katika nchi zooote iliyo...
Mi ni mshabiki mkubwa wa zantel hasa kwene upande wa internet. Kwa kipindi kirefu nimekua nikitumia modem yao ambayo kiukweli ilikuwa ikinifaa sana. Cha ajabu siku za hivi karibuni nimeanza kuona...
Wadau heshima kwenu naomba mnijuze hivi hiyo update ya WP7.8 tayari? Simi yangu ni Sumsung i917 inatumia WP 7 (not compatible with ISSD)thanks in advance.
TANZANIA faced a breakdown in Internet connections for the better part of Thursday afternoon after two submarine cables linking the country to the outside world experienced technical problems...
Kuna game ya pool table nlikua nayo kwenye Pc imefutika na nimeisahau jina,kwa anae ifahamu anisaidie,ni kama pool table ya mitaan sheria zake na ina opt ya ku play wawili,nahitaji kui download
Habari za siku nyingi wadau, ningependa kujua maana halisi na kirefu cha neno SOS ambayo nimekua nikikutana nayo pale network ya simu inakua haipo katika eneo husika..... Ahante
kale ka free internet mlikonipa kwa siku saba kamenipa mambo mengi makubwa nshashusha gb zisizopungua 15 kweli kazi ilikuwa ni kwangu................ swali ni je nikinunua kwa pesa yangu speed...
wanabodi kila nikijaribu kusign in facebook kupitia facebook app au facebook messenger inagoma na kuandika "there was a problem connecting to facebook, please check your connection and try again"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.