Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba kujua hili kwa vile hadi mwanzoni mwa wiki hii utaratibu wa Vodacom wa 40MB kwa Tsh.2500.00 ulikuwa unaendelea lakini leo nimejaribu ku-recharge na kuomba hiyo huduma ikanigomea,kulikoni?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
samahani wadau hv bei ya chini kabisa ya ipad ni sh ngap
0 Reactions
1 Replies
777 Views
GTs, mimi ni mmoja wa watu wanaoheshimu taaluma za watu, hivyo natanguliza heshima kwa yeyote atakayenipa ushauri wa kitaaluma juu ya hili: namna ipi nzuri ya kutunza battery ya laptop? (a)...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Ninauza vitabu vya microsoft certifications server 2003 training materials, ni original microsoft books kwa anayevihitaji nitamletea popote alipo ndani ya dsm, karibuni wana IT.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna wizi mkubwa unaendelea kwa sasa nchini katika akaunti za wateja wa NMB kupitia huduma yao ya NMB-Mobile. Wizi huwakuta zaidi wateja wa NMB-Mobile ambao wanawasiliana na akaunti za kupitia...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu baada ya notifeki kutaka kuwakamua mipunga, mi naweka hii app ambayo kkiukwel unaturn into infinity drive. try it and give feedback: Bitcasa Infinite Storage | Your External Hard Drive in...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi Mambers Sorry,I would like to get some help on how to create transparent drop down menus like the ones found at this site.If you have the knowledge or you know a link with materials that can...
0 Reactions
7 Replies
910 Views
Inahitajika Toshiba yenye hard disk 500,processor 2(dual core) na ram 2. Bei laki 6. 0768596758
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ndugu wana jamvi, salaam! Nimepiga window7 (ambayo haina keys) kama miezi mi3 iliyopita na sasa imeanza ku disable features kama display na internet.. Kuna mdau akanijuza kua ni kwa sababu cku...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
502 Bad Gateway nginx/1.2.7
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Naomben msaada pls, cm yangu haifungui pdf file. Anaeweza kuniwekea nikayaona kwa cm anisaidie!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kupata msaada namna ya kuweka setting za zantel au voda kwenye modem ya d link ambayo inatumia line yeyote
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi There is a software that can help you recognize if the web you are visiting is trusted or not.I have been using this software for more than six months(security first) and it is nice.It gives...
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Earth-Buzzing Asteroid Worth $195 Billion, Space Miners SayBy Mike Wall | SPACE.com – 18 hrs ago Email Share665 Share10 Print View PhotoAssociated Press/NASA/JPL-Caltech - This image...
0 Reactions
0 Replies
522 Views
Hello wanajamvi, samahani kwa mwenye kuelewa sheria ya Tanzania juu ya uandikishaji, umiliki na uuzaji wa domain names kwa hapa nyumbani anisaidie, Na je ni kosa kisheria kusajili na kumiliki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi me nina pc yang ni desktop compaq kila nikiiwasha inaandik going to sleep halaf inakuwa black secreen lakini mashine inaonyesha iko on isipokuwa monitor ishaandika hvyo ndo...
0 Reactions
3 Replies
706 Views
WADAU HABARINI ZA ASUBUHI! Naomba kwa mtu anayezijua hizi phone vizuri.. Atuambie Ubora wake ukoje... Kila kitu kuhusu hizi phone.. NAWASILISHA
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Heshima zenu wakuu!! Mm natumia Nokia E5 kinachonikwaza ni kwamba text sms zote na comment zote za marafiki zangu wanazo post na kucomment facebook zote zinaiingia ktk email yangu ambayo ni...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hello wanajamvi, samahani kwa mwenye kuelewa sheria ya Tanzania juu ya uandikishaji, umiliki na uuzaji wa domain names kwa hapa nyumbani anisaidie, Na je ni kosa kisheria kusajili na kumiliki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom