View PhotoYahoo! News - The screen uses the same OLED - organic LED - technology as many current smartphones, but encased in plastic instead of glass.
Samsung wowed an audience in Las Vegas...
Wakuu Laptop yangu ina nafasi ndogo sana hasa ukizingatia specs zake inatakiwa iwe na angalau disk ya 320
Aina ya Laptop ni HP Pavilion g6 series Notebook
Processor ni Intel (R) core (TM) i5 -...
Habari zenu wakuu!!
unafanya installation ya oracle 11g nimeshamaliza process za configuration na inaanza kucopy files ikifika katikati inaleta error ya ''Invalid stored block length'' cfaham...
nokia 603 inauzwa, imetomika lakini bado ipo katika hali nzuri.
Bei: 300,000 maelewano yapo.
Kwa anayehitaji piga 0717354243
Features zake ni
5MP camera
Internal memo: 2 GB (340 MB user...
Je nawezaje kutofautisha LAPTOP FAKEna ORIGINAL??.Kilichonisukuma kuuliza swali hili ni kwamba kila wakati ninapo uliza kuhusu Uzuri wa laptop kwa watu tofauti tofauti, basi wana nieleza kuhusu...
WAKUU na imani mu wazima,,ninayo hii modem yangu inazingua kusoma katika PC yngu lkn kwa PC ZA WENGINE INASOMA MWENYE UFUMBUZI ANISAIDIE MODEM NI 3.5G,,AU BASI ATAKAYE MIND ANIPIM ANAWEZA...
Habar zenu ndugu zangu wanajamvi, naombeni msaada namna ya ku-unlock modem ya huawei ec122. Nimezunguka google wee mpaka nimechoka, naombeni mnisaidie tafadhali. Ahsanten
Nimekuwa nikitumia laptop, leo asubuhi nilipofika ofisini nikawasha kama kawaida.
muda huu wa mchana nilienda lunch. Niliporudi nikiwasha haitaki kuwaka. Lakini ile taa inayoonyesha kuwa iko on...
wadau na mie nimeishuhudia tecno yenye os ya android....swali langu je itakuwa na ubora gani???? na inapga mzgo kweli kama android nyingine???
nawasilisha
.
Hello Wana JF, Wataalam Wa ICT Naomba Msaada Was Software Nayoweza Kutumia Kutengeneza Passport:
Wedth 132 Pixels
Urefu 185 Pixels
Ukubwa wa Picha Usizidi 4KB
Resolution Iwe 72 Pixels per inchi...
Nina iyo tab ila ina suport wifi tu,na nkiweka modem inaonesha 3g ivi siwez nikafanya mautundu ikasuport modem?
Imenichosha na ma wifi yake aah msaaada jaman
WanaJF experts field ya Android na linux based severs, naomba masaada jinsi ya ku configure envaya sms, EnvayaSMS
Msaada wako utakua appreciated na donge nono waweza pata
Hello Wana JF, Wataalam Wa ICT Naomba Msaada Was Software Nayoweza Kutumia Kutengeneza Passport:
Wedth 132 Pixels
Urefu 185 Pixels
Ukubwa wa Picha Usizidi 4KB
Resolution Iwe 72 Pixels per inchi...
jamaa wanaofa nzuri ya kutumia internet yao lakini ipo slow mno.Muda mwingi ni full edge,yaani inaboa mno. kwenye bei ya kununua vifurushi wapo vizuri lakini speed ndo kimeo.Badilikeni bwana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.