$100 kwa kila App utakayosubmit na itapita approval process.
Limit App 20 kwa developer mmoja ($2,000).
Ukisubmit App 5 kwenda mbele unaingia draw ya kushinda moja kati ya BB10 Limited Dev Edition...
Salamu kwenu wakuu,nilikua ninaomba msaada kwa yeyote yule atakayeweza kunipatia betri ya dell 630 latitude iwe na uwezo angalau wa kupiga kuanzia masaa matatu na kuendelea,kwa yeyote yule ambaye...
habari wakuu wotee kwa pamoja.hivi hii ni teknolojia gani? au ni vifaa gani vinawezesha fm radio kusikika katika internet??? wenyewe wanaitaga "striming radio" kama sijakosea..naomba watalam...
Mimi nina iPhone 3G ios 4.2.1 nahitataji kupata Free Application toka iTunes store,Namba mwenye Appl ID niitumie kupata Free Applications.naomba ani-PM
nitamjali kwa pesa kidogo...
wakuu naomba mwenye keys, email na id ya iso burster 3.1 anisaidie au mwenye direct link ya kudownload full anitupie maana nimegoogle lakini keys zimegoma na full nazopata ni torrents zisizokuwa...
Nilikuwa nafungua file moja kupitia open with - choose default program- other programs. Sasa nilipochagua Adobe reader baadhi ya short cuts kama ant virus, browser na mengine mengi yamebadilika na...
Top 10 Add-ons in Google Chrome Web Browser
There are a lot of add-ons(or)extensions in google chrome.We will describe about some addons which helps you to run the google chrome in very...
Nadhani wakuu wote ni wazima, leo nlikua nmeanzisha maada muhimu kama hii maana wa2 wengi wamekuwa wakipoteza data zao kama picha za camera na hivyo kuwa katika wakati mgumu, pia ofisini documents...
naomba msaada kwa mwenye uelewa wa kunisaidia kutatua tatizo la 'security code' kwenye simu ya nokia asha 300 (rm-781). kwa bahati mbaya code niliyoweka kwa sasa haikubali kufungua na sijui tatizo...
wanaJF naitaji msaada wenu juu ya iphonz ambazo znaagzwa kutoka nje...nikiagiza je huwa zpo ambazo zko unlocked o lazma niingie gharama nyingine ya kuzi unlock huku zkfka bongo,plz need yo help cz...
wadau naweza kupata chart ya umabari wa barabara za Tanzania hasa kwa njia hii
Korogwe (Tanga) hadi Chalinze hadi Iringa hadi Njombe hadi Ludewa.
nilijaribu kugoogle nikapata flight distance na...
Leo ntatoa pindi juu ya kuchakachua baadhi ya modem ili sote tuweze kutumia line za network tofauti
1.Download hii software ShareMobile - download dccrap exe
2.chomeka line ambayo sio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.