Habari zenu wakuu!!
Natanguliza shukrani Nina smartphone ya HTC desire HD A9191 inatumia android version 2.3.5,tatizo lake ni kwamba cwezi kuingia kwenye applications zake nyingi nilizodownload...
Rachel Crosby speaks about her BlackBerry phone the way someone might speak of an embarrassing relative.
Im ashamed of it, said Ms. Crosby, a Los Angeles sales representative who said she had...
Jana nimedownload window 8 ambayo ina ukubwa wa 2.38GB ila baada ya kumaliza kudownload nilivyojaribu hilo file halina ile icon kama ya setup na nikijaribu kufungua inaandika nichague application...
Habari za leo wanaJF,
Napenda kujua ni software zipi zinazotumika katika kucheza na vocal za wimbo.
Ninaposema kucheza na vocal za wimbo namaanisha kuweka effects katika wimbo mfano auto tune ya...
Habari wakuu, natumia dell vostro 1540 ilikua na linux sasa hivi nimeweka window 7 ila drivers mbili nimekosa kabisa ni ya webcam na bluetooth naombeni msaada hata wa link ambayo naweza kupata...
nina flash yangu, ADATA, 16GB, imegoma kusoma kwenye pc zaidi ya 3.
Nimejaribu kwenda kwenye device manager nimeikuta ina error, nilipojaribu ku-update driver inasema "this device can not start...
Habari zenu wakuu,nina tatizo kwa yeyote anayefahamu pc yangu natumia window 7 professional tatizo ni kwamba ile option ya sleep kwenye power button haifanyi kazi yaani ukilinganisha na option...
this week offer 1 pc left Brand NEW Dell streak 7 wifi+4g TABLET UNLOCKED ready to use ANY GSM simcard, with skype video calls enabled featuring 2.2 android UPGRADABLE. internal memory 16GB...
Habr zenu
Leo kuna mshkaji alichukua phone yangu alichokfanya ni ku erase internal memor,matokeo yake amefuta program zangu zote....kubwa kabisa ni play store! nimejaribu kuitafta kupitia web...
Salaam wakuu..tukiwa tumehama kutoka analogia kwenda kwenye digital kumekua na uwepo wa vingamuzi aina mbali mbali..nimeona habari kwamba uganda wamepiga marufuku uuzwaji wa vingamuzi ya startimes...
Nataka Notification za jf zistop kwenda kwa email addres yangu.. Mana kila nikisaini inn kwa yahoo nakuta email zaidi ya 20 toka jf plz msaada jinsi ya kuzistopisha.
Web security Training
Twiga Hosting Ltd is the ICT security training provider in Tanzania.
Do you know 80% of website and web applications can be hacked?
Do you know how to check if your...
hebu niulize leo maana
sijaona badiliko lolote la ki-Digital kwa vituo vya radio, hakuna hata kituo ki1 kilichoongezeka kwenye satelite zaid ni zilezile 12 tulizokua nazo mwaka jana.
na nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.