Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Features: Unique compact design, Conveniently portable and lightweight, minimize working space, Compact size for traveling convenience, no worry about tangled cable mess. Never run out of...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Tangu asubuh nadownlod zunepackage af ad saiv ndo 30%ni nomaa mwenye zune setup c mnisaidie tu watasha km mtu anayo anicheki hapa>jaycomfaces@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Leo Nimesikia Kua Itv Wamebadili Masafa Je Itakuwa Kwa Chanell Zote Naamanisha Eatv,capital&itv Kama Nikweli Tupia Hapa Hizo Fq
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Salamu wakuu! Natumia device Android tablet pc. Nimenunua modem ya tigo ambayo ni compatible na pc yangu. Nimeshaunganisha modem na ile symbol ya 3G connection inaonekana ila sina hakika na APN...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Nina youtube downloder ila nkishusha ngoma inakua palepale kwen downlods mbna haiingii kwen zune music player xa??
0 Reactions
1 Replies
737 Views
Mapema mnamo mwishon mwa mwaka huliopita 2012 kumekuwapo na kubadilisha mfumo wa urushaji matangazo ya kutoka analogy kwenda mfumo mpya wa digital.mfumo hauwezi kuathiri wale watumiaawo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Intaneti (Internet, pia: mtandao) ni mfumo wa kushirikiana kwa kompyuta unaowezesha kompyuta mbalimbali duniani kuwasiliana kati zao. Kupitia mtandao huu, watu huweza kutembelea tovuti mbalimbali...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Kama kuna mtu mwenye TV yenye Digital Tuner (DVB-T), je umefanikiwa kupata Channel za TZ bila ya kutumia king'amuzi (or whatever kinaitwa siku hizi)? Kujua kama TV yako ina uwezo wa kupokea...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Digital tv ni mpaka uwe king'amuz au antena 2?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenyu binafsi....... Wadau naomba mnijuze advantages na disadvantages za gari aina ya Toyota IST i.e. fuel consuption, services n.k. Kuna shost angu kaniuliza sasa na mie sijui hata...
0 Reactions
23 Replies
12K Views
Habari, Nimekuwa CCNA-certified tangu september mwaka huu, kuna mtu aliniambia niki-indicate sanduku la posta kwenye particulars zangu...cheti kitatumwa kwenye sanduku la posta, nilifanya hivyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Guys, Sometimes unapofungua google, unaweza ukakutana na hii message 404 not found, this is only kwa Gooogle tu while other sites zinafunguka fresh including Jamiifroums. This is the solution...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Laptop yangu nikiiwasha tu screen yake hutikusika kwa mwanga mkari wenye mistari mpaka inabust tayari kwa kutumia ndo inaacha mtikisiko,kuanzia hapo naweza kutumia bila ya matatizo lakini lazima...
0 Reactions
3 Replies
890 Views
Lumia710 hai pair na cm zngne ko cwez kurusha tracks kwa blututh af niki cinnect usb hai detect xmtym driver not found xmtym succesfuly bt haipo kwen computer nisaidieni mafundi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima mbele wakubwa !! jamani wana jamvi kwa mwenye uzoefu na hii kitu,kuna mtu kila nikimtumia email haipati yaani haiingii kwenye inbox wala sparm, account yangu ni yahoo na yeye yupo...
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Jaman naomba mnisaidie jinsi ya kuweka dashboard mpya kweny modem
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada kuna web nimeisahau inatumika ku update nokia yoyote kwa kutumia IME .intashukuru endapo mtanisaidia
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina Simu ya Huawei ascend niliyoinunua tigo ila imefanyiwa sim lock yaani ikubali line za tigo na mi nahisi nimewachoka,kwa anaefahamu njia rahisi ya kuiunlock anisaidie...,
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kumbe Vin'gamuzi vya Startimes ni kimeo? teknolojia yake kuisha tarehe 31 Desemba! China vilikataliwa, Uganda vikakataliwa, vimeletwa Tanzania nchi inayoongozwa na wababishaji!
3 Reactions
60 Replies
7K Views
Back
Top Bottom