hehe wapenda free mpo? katikt pitapita zangu nimekutana na hii site http://www.gloobovoip.com/ wanakupa 5 min kupiga cmu dunia nzma 4 free after that utalipia ila kam unae contact anaetumia...
Naomba wana JF tupoeane mawazo kuhusu Artificial Intelligent programming.
Mimi ningependa kushare na nyie simple javascript AI programming.
Title ya hii Application tutaiita "Numerology...
0755 046 145 ama ndiyo tuseme usajili bado unaendeleaaaaa????? Nasema hivyo kwa sababu bila ya kukosea usajili kwa sasa ina takrban miaka miwili ila ni dhahiri ya kwamba bado mapungufu...
Hi Friends, SF is on poll to get Application of the month. I urge you to vote for wxWidgets. There are many reasons but major one being its contribution to a lot of apps we use here are some...
wakuu nimepata tablet
model number: DFP7002A
android version 4.04
kernel version.
Sasa mziki upo katika kuweka configuration za internet. Nikiomba za voda- wanaleta message kwamba watatuma...
wapi naeza pata window 8 activator..please kama kuna mtu anaYo naomba a post link ili niweze ku-unstall kwa sabäbu napata shida sana katika suala zima la internet kwenye ma laptop..natanguliza...
Wakuu naomba kuuliza:
1.Hivi yale madishi ya internet tunayoona ktk taasis mbalimbali za serikali na private,mtu binafsi hawezi kufunga ktk nyumba yake?
2.Je,speed ya internet yake ikoje...
Ndugu wana jf, naomba Msaada wenu ni jinsi gani ninaweza kupata
Microsoft office ya MacBook pro, je naweza kudownload online? Kama
Inawezekana naomba mnipe link
Wakuu naomba msaada wenu natafuta simu ya mezani iwe ya mitandao niliyotaja hapo, kwa ajili ya Dukani/Officin na inatumia chip/line ya kawaida ya cellphone, unaweza ku PM, au nipe contact zako...
wakuu habarini,,,kama kuna mwenye sight za kupakua movie za kikwetu(kibongo) basi ashare kwa manufaa ya sisi tunaofatilia
NOTE:kama una link au sight bora usiweke comment zisizo saidia na imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.