Habari wakuu!
Nataka kununua king'amuzi kwa ambaye anavitumia naomba anieleze yafuatayo
1) bei ya king'amuzi
2) malipo kwa mwezi
3) idadi ya chanel nitakazoziona
ni Star times, TING, Zuku na...
Wakuu natumia iphone sasa naitaji kupata ile application ya whatasp kuna maujanja yoyote yanaweza kufanyika? I mean kwa kupata ile application kwa free
Jamani kama kuna yeyote anayefahamu jinsi ya kuingiza proxy na port za airtel kwenye firefox au opera mini afunguke hapa anipe maujanja....Thanks in advance.
Wakuu nasikia hizi kampuni za mitandao ya simu zinaprovide tu network lakini hazihusiki na utengenezaji wa vocha za airtime,hii inakuwaje?
Na ni makampuni gani kwa hapa kwetu yanahusika na...
Ndugu zangu,
Kutokana na maoni ya wadau mbalimbali tunayo furaha kuwatangazia, kuwa Mjengwa Blog itatoka na muonekano mpya ifikapo Januari Mosi 2013.
Maggid Mjengwa
Mwenyekiti Mtendaji -Mjengwa...
Naombeni usaidizi,
Resently nimeistall windows 7 from a usb stick kwenye mac book air yangu. Sasa wakati wakuinstall nimeistall ila ilipofikia kurestart ili kuendelea na installation ikashindwa...
Habari wakuu.naombeni mnisaidie kama kuna program inayoweza kutumika internet cafe kwa ajili yakuset time kwa wateja.kama vile ilvyo time watcher.
Time watcher kwangu inazingua
Nna king'amuzi cha dstv ila sipati local channel. Sielewi serikali ilimanisha kwamba sitakiwi kuona tv za kwetu ili niangalie za nje tuu au? Kama hivyo kweli huu si ndo ukoloni mamboleo wa...
ktika channel zilizoathirika mojawapo ni clause tv chaajabu kabla mitambo haijazimwa kwenye digital ilikuwa inaonekana vzr baada ya analojia kuzimwa nayo haionyeshi pia ninavyomjua ndugu yangu...
Simu aina ya smartphone na kompyuta za tablet zinazosemekana kuwa vifaa vya mawasiliano vya kwanza kutengenezwa na kampuni ya Afrika zimezinduliwa.
Vifaa hivyo, ambavyo vimebuniwa na mjasiriamali...
naomben msaada ni vp nnaweza kuitumia nokia yangu e51kama modem katika tablet??? je tablet zinakubali nokia pc suite???
2. je nokia e51 inaweza kuprovide wireless kama androids???
natanguliza...
Imejaa ushabiki wa kisiasa hasa kuiponda CHADEMA na kuifagilia CCM.Washabiki wa wazi wa jambo hili pale ni Paul James Swea,Efraim Kibonde na Gerald Hando.Kwenye uchambuzi wa magazeti,gazeti lolote...
Tittle imejieleza, naomba mwenye ufahamu anijuze vizuri, Je ni simu zote za kichina au baadhi, maana mimi ninayo tecno, t451 sa sijui nayo pia itafungiwa au lah!
Habari
naomba msaada START BAR kwenye laptop imehama sijui imehama vipi kama ni setting ni sehemu gani ime change nibadilishe irudi chini kama kawaida!
Ni maduka yap yanauza LAPTOP nzuri za SAMSUNG na SONY kwa DAR ES SALAAM??.Mara nyingi nakosa Duka maalum ambalo naweza kupata laptop hizi kwa bei nafuu kidogo,.Naomben msaada wenu wakuu kama kuna...
Hi members
I am currently working on a web project and I want to display date in a format like Wednesday 24 January2013.I have videos by Lynda from Lynda.com and I followed that concept but...
kati ya vitu ambavyo vimepigiwa upatu na kelele nyingi juu ya kukua kwa mawasiliano (TEHAMA)nchini na wengine kwenda mbali zaidi kusema Tanzania kitakuwa kitovu cha mawsiliano kati ya nchi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.