Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
If the sun looks a little larger than usual today, you're not seeing things. Today (Jan. 2) marks the time when the Earth is at perihelion, the point in its orbit at which it is closest to the...
0 Reactions
0 Replies
718 Views
wadau,leo naamka, nawasha tv sipati channel hata moja,kigamuzi ninacho lakini salio limeisha, mi nilijua kama una kigamuzi hata kama hujalipia unaweza pata local channel.tafadhali naomba maoni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
tunasikia kuna simu za kichina ambazo zitazimwa muda si mrefu niasidien jaman tutatofautishaje simu zinazohitajika na ambazo ni feki?
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Samahani naomba kuuliza kidogo kuhusu New Technology ya digital. Eti na wale wenye simu zenye TV watatakiwa kununua king'amuzi? Kuuliza sio ujinga jamani.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana Tech, Gadget nilikuwa naomba msaada wa jinsi ya kutumia Simu yangu niitumie kama modem kwenye Laptop! So naomba maelekezo ya jinsi ya kuiunganisha!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ninatumia smartphone na ninapenda kujaribu apps nyingi iwezekanavyo. Kwa sasa hivi natumia Whatsapp kwa kutuma msgs kwa wale wenye hiyo. Hata hivyo napenda kujaribu apps zingine vilevile. kuna hii...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nashindwa kudownload pdf files.hivi ni kwel hii simu haina uwezo na kama cvyo what is the best way to access those files.msaada plz
0 Reactions
0 Replies
796 Views
The popular site and application for cracked iOS apps has been shut down abruptly for unkown reasons taking its cydia source and instalous along with it.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
nisaidieni keys za iso buster 3.1 nina shida sana jamani kwa sababu nimepoteza file muhumu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndungu zangu please can anyone tell me where can i get pepper spray in dar es salaam?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
My phone is Samsung Galaxy model SGH-i917; Software is Windows Phone 7. Can anyone come to the help as I'm unable to use locally,neither playing U-tube it prompts me for installation of software.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jf! Model ya simu ni Huawei u8185,inagoma kupiga simu but napokea kama kawaida,internet iko poa na kutuma sms. Pia kuna muda inakuwa inazima na kujiwasha yenyewe,naomba msaada wenu plz
0 Reactions
5 Replies
7K Views
naomba msaada wa namna ya kutumia wifi,phone model huawei u8185
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heri ya mwaka mpya wand TGS Forum. Wajuzi wa haya mambo naomba msaada. Nimekuwa nataabika sana karibia mwezi sasa, nikifungua website ya Jamiiforums, haifunguki na inanipa error 118, inabidi...
0 Reactions
8 Replies
886 Views
naomb msaada namna ya ku conect wifi kwenye phone yang,huawei u8185
0 Reactions
0 Replies
641 Views
...... PLZ mwenye link ya kudownload photoshop naomba aitupie hapa.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wana JF salamu. nimepata tatizo la kuinstall software ya printer aina ya hp laser jet P2015 kwenye window 7, na tatizo lenyewe ni kwamba inagoma kutokana na kuwa hii software imetengenezwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tunaona ushabiki wetu juu ya badiliko ya utangazaji kutoka analogia kuwa digitali,ndiyo lakini watu watanzania tulio wengi hatupo kidigitali ,na ata serikali yenyewe aiendeshi mambo yake...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
naomba msaada wa jinsi ya ku download,nlikua natumia file tube sasa hv inagoma
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hatimaye kampuni ya Zuku TV imeongeza local nyingne ie.Cloud Tv na kufanya idadi ya chn za Tanzania kufikia 3 baada ya TBC,Chnl10..nadhan hawa jamaa wanaongoza kuwa local chnl nyingi zinazopatkana...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom