Wandugu naomba msaada wa Free to Airt (FTA) Satellite names, TP na Frequency za Kenya, Uganda na TZ
kwa dish la 3feet KU.
Kwa kweli sijaelewa hizi Satellite zikoje maana nikitafuta Pas 7/10...
Wataalam wa jukwaa hili kuna jamaa alikuwa ananiambia kuwa anatumia Nokia E7 sasa ame download Solar charge App na akanambia inachaji simu. Napenda kujua je inaweza kujaza betri vizuri kama chaja...
Mamba vipi wakuu. Kuna mtu ana virtual dj mappers (definifion.xml na mapping.xml) za pioneer DDJ-T1 controller nimejaribu kuidownload kwenye website ya virtual dj (VIRTUAL DJ SOFTWARE -...
ilichukua kama masaa 4 tu kujua kua apple iphone 5 wamecopy toka nokia na sony.
tayari apple washapatikana na hatia so wanasubiria kuhukumiwa tu.
Maeneo ambayo apple kakutwa na hatia ni...
GMAIL AWARESOME TRICK, SEND SMS TO YOU FRIENDS MOBILE PHONES FOR FREE
There are many features of Gmail, which we don't know.
Did you know that,you can easily send SMS to your Friends or relative...
Mfumo wa Urushaji wa Matangazo ya Television katika Mfumo wa Digitali si Mgeni hapa Tanzania. Matangazo ya Televisheni kwa mfumo wa Digtal yanatofautiana tu katika Namna Matangazo yanamfikia...
jaman wana jf simu yangu samsung galaxy mini nilikua nimeiweka chaji then baada ya masaa kama maiwili kuigusa nikakuta imekua ya moto sana then nikaizima ili ipoe, baada ya mda kidogo nikajaribu...
wakuu Naitaji Min laptop ya HP au TOSHIBA mpya ikiwa na kila kitu chake.............nataka vile vidogo sio makubwa ya Inch 14 hapana, naitaji haraka kwenye nayo aweke bei na contact yake tufanye...
Wadau
habari za asubuhi.Jamani siku hizi mbili,tatu za nyuma niliona tangazo
kwenye chaneli ya EATV kuwa wataleta king'amuzi kinachoitwa
Digitex.Mwenye uelewa wa chanel zake atudokeze japo...
Habari za majukumu wanajamii,
Nimekumbwa na hili tatizo la kutoweza kufungua GMAIL account yangu kwa takriban siku 4 sasa, nimekuwa nikijiuliza tatizo ni nini lkn nimeshindwa kupata majibu ya...
Naomba tujadili hili suala, kuna ushindani mkubwa umeibuka kati ya watengenezaji wakubwa wa processors ambapo intel ambaye kwa miaka mingi amekuwa ndiye kiongozi wa industry ameanza kabwa koo na...
Dah kiukweli zamani ilikuwa nikitaka nkujua mambo ya technolojia kwa undani wake naingiahumu napata vi2 vipya na napata kuelewa kwa undani kwa kifupinilikuwa cboreki nw yaani dah misaad imezidi...
Hack Mobile Phones Through Bluetooth
Yes guys it is the mobile bluetooth hacker. It is a software which can be used to hack any mobile phone through bluetooth network. Once connected to...
wadau heshima mbele
jamani simu yangu imekuwa na tatizo hivi karibuni la kupata moto yana ukiitumia, kupiga simu, kuchat, inakuwa ya moto ghafla na charge inakuwa...
Ni kama mwezi umepita kuna rafiki yangu anunue laptop mpya K.Koo ikiwa na Windows 7 na hali ya betrii yake ilikuwa ni nzuri tuu kwani ilifikisha karibu masaa manne(4) kama ikiwa unplugged. Hiyo...
nina ibook g4 ambayo ukiwasha inatoa alama ya aple na haiendelei zaid ya hapo. nikibonyeza option wakat wa kuwasha haiji sehem ya kuchagua uboot toka wapi.
Cha ajabu KILA NIKIWEKA CD AU DVD...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.