Simu aina ya htc yenye window ya android nimeombwa msaada kuna baadhi ya apprication haziko poa kama video haionyeshi afu internet iko slow na inakatakata naweza jua vp kuwa ni feki au orijinal...
Habar za jf kama kichwa cha kinavoeleza! Nimenunua kifurush cha sh2500 asubuhi hii cha kushangaza hata sikumaliza dk15 kimeisha! Najua kuna wengi humu ndani wanajua namna ya kutumia intarneti bure...
Habari zenu wakubwa?
Nimejaribu kutafakari sana lakini mwisho wa siku nimekoswa majibu na hii ni kutokana na uelewa wangu Kuwa mdogo kwa maana kwamba Mimi sio mtaalamu wa mambo Haya.
Swali...
Allah almighty had supported these weak creatures with very sensitive prediction systems .
Allah almighty had supported these weak creatures with very sensitive...
nimatumaini yangu mu wazima wana jukwaa ,,,,bila shaka wengi wetu tunatumia pirate bay kudownload vitu mbali mbali,,,na japo uenda wengine wanatumi zbigz nahisi wengi wttu ni UTORRENT...
HELLO friends i am going to post
a new proxy trick for airtel...........,
Here ir a proxy trick 2 download
more than 500 mb file :)
Proxy=62.75.211 .32
Port=80
apn=airtelgprs. com...
kama mpo aware kuna kampuni ya kimexico inaitwa ifone ambayo walikua wanaclaim wameibiwa jina na iphone na iphone nao wakawashtaki wasitumia jina but apple wakashindwa na kampuni ipo hadi leo...
nna kms 9.4.109 security[kaspersky] kwenye simu yangu mda wake umekwisha naomben msaada wa KEY zake za activate mana kila nayo ipata wanasema imexpire....tafadhali jaman msaada wwenu
I am doing some research on water quality guidelines in Tanzania. Can any one guide me where can i get the drinking water quality quidelines that are applicable in Tanzania. We have plenty of...
WHAT SHOULD I DO WITH THIS ERROR?
Error mounting /dev/sda5 at /media/ubuntu/8a61c682-0b0d-4279-9908-ad86c77437f5: Command-line `mount -t "ext4" -o "uhelper=udisks2,nodev,nosuid" "/dev/sda5"...
Habari wataalamu. tafadhari mwenye BLUETOOTH DRIVER ZA DELL N5050 anisaidie au anielekeze niweze kudownload.
msaada please kwan hii mambo imenishinda kabisa kuipata
Wakuu,
kama unahitaji logo ya kampuni yako au biashara yoyote (vigezo na masharti kuzingatiwa), just PM me..am doing it for free... karibuni (Serious pls)
habari zenu wanajukwaa,,,nawaombeni msaada jinsi ya kufanya free skype calls nikiwa connected kwenye internet,,,nimejaribu ku-wtch video za youtube lkn nyingi picha hazionekani vizuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.