wakuu naomba msaada wenu kwa lolote ulijualo juu ya OBD 2 SCAN TOOL ?. mm nifundi umeme wa magari so nilikuwa nataka kununua mashine kwa ajili ya kufanyia diagnosis,kupimia. so kulikuwa na option...
Naomba ushauri...Boss wangu ameongeza account ya Administrator on my laptop. So my laptop has now 3 accounts; Administrator; My Account and the Guest Account.
What does Administrator Account...
Wakuu habari za muda huu tena,
Naombeni msaada wadau,
Nina external ya 1TB nime weka data, ila toka week iliyopita nikifungua data hazionekani, nikicheck ukubwa yani disk space used ni...
Wakuu heshima kwenu,nina movie zangu nimezi download lakini nimeshindwa kuziweka kwenye DVD ili niangalie kwenye TV yangu,Naombeni msaada wakuu,nimejaribu kutumia Real player imekataa,VLC...
Habari wana jamii... Mimi ni mwakilishi wa asasi ya kiraia inayoitwa Matabula's foundation. Tulikua tukihitaji nembo (logo) kwa ajili ya asasi yetu, ivyo tukaona tuwaombe wadau wanaoweza kudesign...
SAMSUNG LAPTOP 15" YENYE SPECIFICATIONS HIZI INAUZWA LAKI 5 NA NUSU, IMETUMIKA KWA MWAKA MMOJA TU NA BADO IKO KWENYE HALI NZURI. BATTERY INAKAA MASAA MATATU.
Processor Intel (R), i3 CPU
M380 @...
PhoneOnMap makes it possible. It's a service that provides a free application that has to be installed in GPS cell phone and you are ready to track the phone from anywhere on the Internet.
This...
Asalam kwenu maraki mnaonisaidia kimawazo japo hamnijui. Tarehe 26 mwezi uliopita tulipata maendeleo ya kuwekewa umeme katika nyumba ya kupanga, tukawekewa na tanesco unit 50 za kuanzia, siku 11...
Nimeshangaa kukuta hadi kwenye king'amuzi cha DSTV wameadika 7 days to go pale juu kulia. Ina maana hao dstv nao wanaamini mwisho wa dunia ni tar. 21/12. mbona wanatutumia msg tukalipie hadi mwakani?
Wakuu nina Nokia 110 nina Application karibu zote za Internet. Kama Nokia Browser, Ebuddy, Nimbuzz na Operamin. Tatizo langu sina huduma ya Whatsapp. Je, inawezekana kuipata hiyo huduma na kuweza...
hii simu kuxema kweli nimeipata kwa bei rahisi tofauti na mategemeo yangu nimeangalaia serial no. kama walivyoelekeza ndugu zangu humu JF, No. zile zilikubali kwenye ile site lakin bado na mashaka...
Jamani salam wakuu,
najua mko poa. Leo nataka tujadiliane kuhusu hili kwani nataka kujua na ikiwezekana nilifanyie kazi wazo lenu.
Mimi nataka kujua aina gani ya NOKIA SYMBIAN ambayo ni bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.