Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
nimeshindwa kabisa kupata key ya IDM,naomba mwenye nayo anisaidie kwa kupitia mg.moses1@hotmail.com
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Natanguliza shukurani za dhati wakuu.Naomba mwenye key ya Internet download manager (IDM) anisaidie,au kama anayo version ya IDM yenye key aiweke hapa niishushe au anitumie kupitia...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Used iPhone 4 in Mint Condition FACTORY UNLOCKED going cheap @ 550,000 TSh + USB Cable for more info contact +255 658 822 224 or email: djrahim08@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanadai ninunue onlyn najaribu nimeshindwa natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
783 Views
WAKUU HABARI ZAJIONI, NAOMBA MSAADA WENU LEO JIONI NIMENUNUA KA TABLET KANAITWA SEL tab kanauzwa na kampuni ya ktz inaitwa SAPANA ELECTRONIC LTD. Naona wanamatawi, moshi, dar, mbeya, zanzibar...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba msaada namna ya kuweza ku hack somebody personal e mail or Facebook password.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hizi radio zinadanganya watu kwamba wanafanya migration kutoka mfumo wa analogue kwenda Digital. Sio kweli ni uwongo na ubabaishaji tu. Kinachofanyika ni kupanga upya masafa (frequencies)...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau,nimepata simu (pichani) inayoitwa O2 window phone kutoka UK* lakini baadhi ya matumizi yake ymamenishda hsa issue ya kujua status za calls na kusave majina: wajuzi naomba mjuzi wa hizi simu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wadau nilikuwa naulizia Bei ya simu hiyo hapo Ni TSH ngapi kwa maduka ya Jijini dar es salaam?
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Huwa inanigharimu sana kupiga simu huko lagos nimeona niombe msaada kwenu wadau ili nipate kupunguza garama za kupiga simu huko.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
wazito natumain ni wazima, ni muda mrefu sasa nmekuwa nikifanya window shopping ebay bila kufanikiwa kununua hata bidhaa moja. Najua tu kutakuwa kuna watu ambao wana uzoef na haya mambo. Well...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu mimi nina HP Compaq610 juzi nikiwa field nimejaribu kuitoa katika umeme inazimika kiwango cha umeme katika betrii ni 37% nasas ujazo hauongezeki na nikitoa plug inazima sasa sijui nini...
0 Reactions
3 Replies
844 Views
Msaada wa jinsi ya kutumia simu kama mordem katika laptop...... Natumia nokia Asha 200
0 Reactions
3 Replies
739 Views
wadau changamkie hizi software mapema For mac computers:MacXDVD Christmas Giveaway - MacX Video Converter Pro and MacX iPhone Video Pack expires very soon For Windows:2012 Christmas and New Year...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
WAKUU HABARI ZAJIONI, NAOMBA MSAADA WENU LEO JIONI NIMENUNUA KA TABLET KANAITWA SEL tab kanauzwa na kampuni ya ktz inaitwa SAPANA ELECTRONIC LTD. Naona wanamatawi, moshi, dar, mbeya, zanzibar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina modem ya AIRTEL HUAWEI E173 nimejaribu kuiunlock permanety nimeshidwa so mwenye ujuzi anisaidie niweze kuiunlock. ASANTENI SANA
0 Reactions
1 Replies
703 Views
Wakuu naombeni msaada wapi nitapata TECNO T1 kwa urahisi nikiwa dar.Mimi ninayo niliinunua nikiwa ZAMBIA.Kwa muda huu niko moro ila nina rafiki yangu yuko dar na anahitaji sana hii simu.Amejaribu...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Mitandao mingi ilizungumzia tarehe hiyo kuwa ni mwisho wa dunia. Tumekuwa tukihofishwa sana na hawa wanasayansi ndiyo mpaka wenzetu huko uganda walichomwa moto ndani ya kanisa enzi za Y2K. Kama ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana habari za leo, katika zile juhudi zetu za Photoshop leo nimeonelea niwape wallpaper yenye theme ya ki-JF...naamini mtaipenda na mtaitumia kwenye computer zenu. Resolution: 1920 x 1200 in...
13 Reactions
58 Replies
6K Views
Wanajamvi naomba kujuzwa bando ya internent ya voda bila kikomo(10,000 siku 7) unaweza kusurf na kudownload movie upendavyo au wana limitation/ maana nyinge.sababu haya makampuni ya simu mda...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom