AntiVirus guru hits rock bottom after fleeing murder charge
John McAfee, 67, has apparently successfully managed to dodge Belizean police for a second day after he was implicated in the...
The moon took quite a beating in its early days, more than previously believed, scientists reported Wednesday.This surprising new view of the moon comes from detailed gravity mapping by twin...
Nimekuwa nikisikia huku mtaani ya kwamba betri za simu zinazotengenezwa na Tekno ni imara (zinakaa na chaji kwa muda mrefu) ikilinganishwa na betri za Nokia.
Naomba kujuzwa je kuna ukweli wowote...
salaam wakuu, habari ya kila mtu. Kwa wale wakuu risk takers katika tasnia ya betting,je ni sites gani unazozifaham wanazo predict football matches kwa high accuracy? Kuna ths place at K/Koo...
Ukiwa na sh 50 tu unaongea na mtu mmoja "unlimited calling" 24hrs kwa kupiga *804*1*namba#
kama hiyo ikikataa ipo hii tena
ukiwa na sh 75 unaongea tena na namba moja 24 hrs kama hapo juu ila...
heshima zenu wana jukwaa,,,mim nimepakua microsoft 2013 sasa cijui nifanye je kuinstall bila ku-burn kwenye cd kwa sababu ni ISO FILE so ina fail ku-install ,,,nisaisie kama kunaprogram ya ku-open...
actual sio rahisi kivileeee ni dola 249 around laki 4 za kitanzania kwa sasa itakua ndo simu rahisi zaidi ya windows 8 (huawei wao wanakuja na simu ya chini ya dola 200).
Ina vitu exclusive...
simu yangu ni Nokia E71. ni wiki ya pili sasa inakataa kufungua facebook na e-mail yangu ya gmail. Yaani nafika hadi kwenye password na zikishafunguka tu, cursor haisogee na wala hakuna command...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.