Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zetu wana JAMVI! Wana Sayansi wa Yale wamegundua Sayari kubwa iliyoumbwa kwa Almasi. Source: GONGA HAPA - HUGE ALIEN PLANET HUGE PLANET
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Tangu majira ya saa nne ya asubuhi hp A town mawasiliano kwa wenye kutumia mtandao tajwa ni kero tupu. Je? Ni mimi mwenyewe tu ama tuko wengi! Huu mtandao umenibo sana leo!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakubwa zangu na wapa salamu! Nina shida jamani nimenunua AIRTEL modem hzi za huawei E153 tatizo kubwa hapa ni kwamba nikikoconect inakubali fresh kabisa ila internet inasumbua! Kuhusu bundle ipo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Millions of users bemoan the fact that Windows 8 has done away with the classic Start menu button. Fortunately, there’s a way to resurrect a skeletal version of it in Windows 8’s Desktop UI by...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salama wana jamvi? nina simu yangu aina ya NTTdocomo(product ya LG) Android OS inaleta error sms wakati wakuuliza salio,kuingiza salio pamoja na ku-access huduma za pesa za mitandao inasema...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
WASHINGTON (AP) - The more we study animals, the less special we seem. Baboons can distinguish between written words and gibberish. Monkeys seem to be able to do multiplication. Apes can delay...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nataka kununua king:amuzi ambacho kitaniwezesha kuona mpira wa nje naomba msaada nikipi hicho kwa hapa tanzania
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hard disk ya IBM 3380 yenye capacity ya 2.5 GB iliyozinduliwa mwaka 1980 kwa bei ya kama $100,000 kwa hela ya leo, pembeni ni SD card ya GB 1 ambayo haizidi $10.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Bandugu naomba kupata uelewa maana nimenunua samsung chart 5720 ila tatizo uwezo wake wa kusurf net naona kama ni mdogo sana wakati ina 3g sasa kwa yeyote mwenye uelewa na hili anisaidie jinsi ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wadau Mimi nimetafuta sana hii motherboard ya hiyo mashine hapo juu!! naona hapa dar motherboard nyingi ni za Intel chipset !!! hi ilikuwa na tatizo la display vga !! kwa anayejua naomba...
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Hello guys, sorry natumia Huawei Ideos, OS ni Android 2.2, tatizo ni kuwa whenever i am using internet (Data enabled) inakuwa ina restart ovyo ovyo, sijui tatizo ni nini na how to fix it. Thanx in...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
most of the organizations kuna Intranet badala ya internet which means there is no access ya other sites apart from the internal network (internet). but kwa kutumia njia hii una uwezo wa kuchat na...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
haiko kimatangazo ila wapi ntapata huu waya? au adapter? coz nimehangaika sana jamani... ni wire wa cpu to monitor \text me kwa 0713688266 tanx wanaJF
0 Reactions
4 Replies
913 Views
Amphibious vehicle to go on sale soon in USBy DEE-ANN DURBIN | Associated Press – 11 hrs ago Email Share8 Print Enlarge Photo Associated Press/Carlos Osorio - In this...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The computer-generated images below are simulated views of New Horizons' location in the solar system. The images were created using the Satellite Tool Kit (STK) software, which was developed by...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jaman naandaa project plan hivi, sasa nimepata tuta ktk uchoraji wa problem tree yani jinsi ya kuchora small tables na kuziunganisha kwa arrows, natumia wndow 7.
0 Reactions
2 Replies
928 Views
wakuu naomba maujanja ya ku root HTC sensation z710e kuna baadhi ya application zinahitaji rooted phones.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Swarm of trained rats is on its way to Mozambique to help the country's over-stretched health system detect tuberculosis in patients. MAPUTO - A swarm of trained rats is on its way to...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Nina dish la eurostar na receiver ya gulfstar nawezaje kupata local channel? Naomba msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari za leo... Nina kompyuta ambayo niliagiza toka China aina ya Lenovo na inatumia Window XP. Kinachonipa shida ni jinsi ya kubadilisha Lugha. Nimejaribu kwenda control panel>language...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Back
Top Bottom