Jana rafiki yangu kaja na usb flush disk, baada ya ku insert ktk laptop yangu kirus cha ajabu kika infect laptop.
Ikawa kila uki insert flush nyingine yoyote mafolder yaliyopo ktk hiyo flush...
Waungwana ninatumia simu ya Blackberry lakini tokea nimeanza kuitumia sipati message zakutoka kwenye mtandao (natumia tigo) yaani nikinunua muda wa maongezi kwa tigo pesa ama hata nikijiunga na...
jamani ndugu zangu nina tatizo na modem yangu ya zantel kila baada ya kama dakika kumi kila ninapoitumia inajidisconnect automatically nimejaribu kutumia afd ili ifanye auto connect sijafanikiwa...
wanajamii naombeni msaada wenu katika hili tatizo langu. Tatizo ni kwamba nikiconnect modem yangu ya vodafone k3571z during installation ina install mpaka karibu kufika mwisho na kuleta error...
For windows users if you want to restart you computer quickly without goin all the steps of loggin off,,etc just use this command on the command prompt.
shutdown -r -t 01
Wakuu heshima mbere
Naombeni na mwenye nayo faili la joiku nataka kuweka kwa blakberry yangu 9000. Wakuu nataka nipate wifi katika computers *ngu kwa kutumia sim
wanajamvi naombeni mnifundishe namna ya kutumia proxy ili nipate free internet. Nimesoma post nyingi zinazohusiana na proxy nikifika katikati naambiwa trick hii haifanyi kazi. Jamani naombeni...
Habari zenu wana jf.
Naomba msaada wa kubadilisha lugha kwenye komputa, nimeachiwa komputa na mkorea inasoma kikorea kila kitu nilikuwa nafanya naye kazi ofisini moja sasa yeye muda wake wakukaa...
Umofia kwenu ma igwe na ma ogah!
Aisee bb bwana usipopitia upya post unaweza ukajikuta umepost vitu vya ajabu,kwa mfano:-
Ukiandika HR yenyewe inaandika HOUR
Ukiandika Mo yenyewe inaandika...
jamani me natumia laptop aina ya acer sasa nikiwa online mfano nikiingia facebook nikiandika comment au nikiwa nachat nikibonyeza kitufe cha inter badala ststus nayoiandika ionekane imekaa hapo...
Hivi jamani kwa nini kusiwe na king'amuzi standard kinachoshika local channels zote , hata kama mnahamia digitally ndio mnaendesha mambo kibabe hivyo....kwa hiyo kila television iwe na king'amuzi...
Jamani nisaidieni...
Ila si mpya,ni mtumba kaniletea rafiki yangu kama namna ya kupunguza deni ninalomdai...
Je,itapona endapo ikipelekwa kwa fundi?
Ama nifanyeje?
Kama ikibidi...
habari wadau wa jamvi hili?
naomba mwenye kujua namna ya kupata keys za software hii anisaidie maana ninaihitaji kweli!! yenyewe ipo mtandaoni lakini sina keys zake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.