Mtandao wa Twitter unatarajia kuzindua kipengele kilichoombwa sana na watumiaji “Edit Button” ambacho kitatoa uhuru wa kuhariri tweets zilizokosewa kiuandishi au tafsiri.
Kipengele hicho kiko...
umekuwa ukipata rundo la emails usizozitakaka kwenye gmail yako?
hiii huwa inachukiza sana unapopokea emails ambazo hazihusiani na mambo yako kabisa leo nitakufundisha namna rahisi sana ya...
To know where we come from is not difficult thing or it is not imposible and we don't need to believe or having any theory.
We dont need to be told where we come from only we need the way through...
Hawa mabwana waliwaza nini kuachia flagship kali kama hii bila kuweka protection kwenye display mfano protection ya gorilla glass na hata ile ya IP water resistant haina au ni GSM arena ndio...
Habari wakuu. Mwezi uliopita nilinunua simu Tigo shop redmi 10 A na nikaungwa na ofa zilikua GB 5 Kwa ajili ya mwezi uliopita na muhudumu akaniambia kuwa ofa ni ya mwaka mzima na kila mwezi...
1. Nyimbo zinazosikilizwa zaidi ulimwenguni
Nokia Tune. Nyimbo ya Nokia ilitungwa na mtunzi Gran Vals, na mtunzi wa Kihispania Francisco Tárrega. Anssi Vanjoki, pamoja na Lauri Kivinen, walichagua...
Siku hizi kuna hizi simu za mitumba wenyewewe wanakwambia used from Korea Dubai etc sometimes unaenda dukan unakuta IPO full boxed lakini ni refurbished
Sasa wajuzi tupeni mautalaam namna ya...
Kwanza kabisa naomba nitahadhalishe kuwa mimi sio expert wa hii kitu ila nahakika walau mtapata mawili au matatu lakini pia naamini wataalam zaidi watakuja kufafanua na pengine kujibu maswali.
Ni...
Habarini Ndugu wana jf, mimi nina solar watt 100 betri N70 dry cell ambazo nazitumia kwenye tv na kuwasha taa kama 5 tu tatizo linalofanya nijekuomba ushauri kwenu ni kwamba nyakati za usiku...
Hi! JF members
Naombeni msaada kwa wenye uelewa wa solar panel nzuri yenye uwezo wa kuwasha tv inchi 32
Naomba nisaidiwe brand nzuri na ni watt ngapi?
Betri N ngapi na hiyo tv inchi 32 pamoja...
Wandugu nawasalimu sana na poleni na pilika za hapa na pale. Nilinunua Inverter ya wati 3000 used ya Taiwan miaka miwili iliyopita na sasa ninahamia maeneo yasiyo na umeme wa grid hapa Dodoma...
Sijajua kama ni kwangu tu au ni vp, Nimezoea spidi ya 1MB kwa sekunde ila hapa kwa sasa jana na leo spidi ya kudownload imeshuka kwenda 60KB kwa sekunde, Nimezima updates.
Bando linalotumika ni...
Habarini?
Jamani nimepoteza charger ya Xiaome redme note ten pro(fast charger)
Kwa yeyote aliyenayo naomba anicheck, nahitaji Kwa haraka, maana charger za kawaida zinasumbua.
Habarini.
nawezaje ku connect web application na mysql database ili user anapo input taarifa zake mfano za registration ziende moja kwa moja mpaka kwenye database.
hapa tayari nimecreate web app...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.