Habari wakuu,natumia Tv aina ya Mr Uk juzi jioni nimerudi nyumbani nawasha Tv nakuta nusu ya juu kwenye screen ya Tv mwanga umefifia kidogo(japo mpaka mtu uwe makinj sana ndiyo utaweza...
Je unahisi hii kamouni mya ya Nothing tech waliotengeneza simu mpya inayo itwa nothing phone kwa mantiki ya kuondoa kikwazo kati ya watumuaji na tecknolojia , je unahisi itazipiku giant kampani za...
Nataka ninunue Samsung note 9 Ila sijui namna ya kutambua original Na fake specs 8gb ram 512gb rom Na bei 380,000 inapouzwa ( marketplace) Facebook naombeni nisije ingia choo cha kike wakuu
Wakuu juzi nilijichanganya nikaweka call ringtone inaitwa ghuma kwenye hiki kisimu changu cha Azumi.
Basi bwana nikawa nimeomba code ya mkeka kwa mshikaji, mida ya jioni jamaa wa code akanipigia...
Umoja wa Falme wa Kiarabu umezidi kuonesha umwamba katika kukuza teknolojia ya kutengeneza mvua ambapo kwa sasa wanapanda mawingu ili kutengeneza mvua.
Wataalamu wa UAE wamesema teknolojia hiyo...
Kama inavyojieleza hapo juu mimi ni mhanga wa tukio la wizi wa pesa..kuna mtu kaniibia pesa zangu huku akiacha ushahidi ambao sitautaja na kutokomea kusiko julikana ilihali kwenye simu anapatikana...
Naona kama bado hakuna mtu anafahamu kuhusu ili so nimeona nianzishe uzi kuhusu ili ili kusudi watu wote wafahamu kuhusu mabadiliko mapya yanayokuja kwenye mtandao wa YouTube. Kama wewe ni mmoja...
Kumekuwa na ongezo la account youtube kusemekana zimedukuliwa , hii inatokana na kuwa.
Wasanii wanashare logins zao na website za boosters, na ndipo Hao jamaa at the end wanapodai wanadeliver...
Kuna hii app ya chapchap ya wabongo unaagiza vitu China kama redio Raba na Vinginevyo
Nilitaka kuagiza HIZI JBL Clip 4 Kwa Moja Wanauza 34000 lakini unatakiwa uchukuwa je HIZI Redio ni OG ama ni...
Habari wakuu?
Nimehamia kwenye nyumba ambayo ina sebule yenye vipimo kama nilivyoainisha hapo juu (Ur 6m kwa Up 4m). Naomba ushauri ninunue flat screen ya nchi ngapi na brand gani ina quality...
Naomba msaada wa kufungiwa simu imei namba ninazo ila tu nimesahau email nilioweka maana kuna mtu alichange email na password sina kama unaweza kufanya kazi hii 20000 ipo karibu pm
Habari wakubwa, kama mada inavyosema hapo juu!ninahitaji kununua television inayotumia umeme wa juu (solar TV) naomba mnisaidie kunishauri aina na siyo mbaya mkaniambia hata bei zake
Habari wakuu wa Tech.
Nina PC HP Elite book 8440p. Naona imeanza kunipeleka Moto kiasi cha kushindwa kupata usingizi
Hii PC nlikua nime ichaji kama kawaida then sikuchomoa betri baada ya siku 4...
Mojawapo ya Kinachosababisha sizipendi simu za Iphone ni muonekano. Iphone matoleo 3 ama hata 4 yanaweza kufanana usijui yupi anatumia simu ipi na yupi ana simu ipi.
Kwa mfano, hii design ya...
Kampuni ya Apple Inc. inatarajiwa kuzindua toleo la iPhone 14 mnamo Septemba 7, 2022.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa uzinduzi huo utaendana na bidhaa nyingine kadhaa za kampuni hiyo
Apple...
Habari wakuu
Wiki ijayo natarajia kuwa mbali na network.
Naomba msaada wa kuset autoreply message ili atayenipigia, aelekezwe kutumia whatsapp call au whatsapp text.
Natumia infinix smart 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.