Wakuu habari.
Naomba kufahamu ubora wa TV Hisense brand. TV yangu ya Samsung imeharibika sasa nimekutana na mtu ananiambia kuna hizi Hisense brand wana offer ya black friday sales, akanipa offer...
Wakuu Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Tanzania.
Twende kwenye mada wakuu nilikua naomba kujuzwa tofauti ya 2.4GHz WLAN na 5GHz WLAN na kazi zake kwa matumizi ya Wi-Fi maofisini na...
Kutoka kwa page ya Tech Advisor hizi ndio simu bora zaidi kwa mwaka 2022
1. iPhone 13 pro (iPhone bora zaidi) $999 at Amazon
PROS
Ina display yenye 120Hz refresh rate
Ina kamera kali sana
Ina...
Construction of the US$650 million Seacom undersea fibre-optic cable is well underway.
The cable will link the continent with the rest of the world to bring down connectivity costs.
A release...
Nina TV yangu kampuni ya PHILIPS imegoma kuwaka toka juzi inawaka taa nyekundu tu, nilijua kutotumia remote nikaenda kununua lakini wapi haiwaki. naombeni msaada Kwa anayejua fundi wa hizi TV, Sio...
Habari wakuu,
Nina SIMU yangu infinix smart 2 haipigi Wala kuingiza call yan(outgoing and incoming call disabled) lakin Kila kitu fresh meseji internet nmejaribu kufanya setting za call inanambia...
Nipo dar nataka note 10+, ila nawaza haya maduka yetu ya kariakoo ntapata iliyonyooka kweli?
Pia nafikiria kuagiza kutoka south korea kupitia ebay kuke nimeona zinauzwa dola 380, ila wasiwasi...
I've been see many people nowadays they complain about this ceber3 Ramson ware here are some tips.
Is it possible to decrypt files encrypted by Cerber3 ransomware?
No , at this time it’s not...
Habari zenu ndugu zangu wa damu,pongezi nyingi kwa kuamka salama
Nimepata hela kidogo nataka ninunue Infinix hot 12i au 10i ipi nzuri zaidi na kama au bora zaidi ?
Karibuni sana
Serikali duniani kote zinakabiliwa na madai ya kutisha kwamba zilitumia programu hasidi iliyotengenezwa na Israel kwaajili ya kupeleleza simu za wanaharakati, waandishi wa habari, wasimamizi wa...
Ndugu, wana JamiiForums leo ningependa kuwasogezea habari hii kuhusu project inayoendelea ya tajiri namba moja duniani ambaye pia ndiye mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Tesla, Mr. Elon Musk...
Unajua kwanini nakuambia ukanunue Infinix zero x pro ? Kama wewe ni mzee wa picha picha nazani utakua na shauku ya kujua kilichopo ndani yake.
Kampuni ya Infinix iliachia simu mpya aina ya...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nahitaji betri ya laptop. Duka gani itapata kwa bei nafuu?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
wazee wa kazi nimesikia google wanafaya mabresho yao kwenye searching engine algorithm, mwenye kuelewa vizuri hii issuee, maana wanasema wale wanaoblog kachumbari, wanakula ban, wanaopost maelezo...
Habari wakuu,
Naomba kujuzwa kuhusu laptop za samsung je zina ubora gani kulinganisha na hizi tulizozizoea HP dell lenovo accer na Toshiba.
Pia naomba kujuzwa hizi processor core series from...
Hello wanandugu maji yamenifika kwa neck wazee this time around nmejaribu kusaka vpn za iPhone lakin hazija workout vzuri daaah naona kama uchawi sasaa binafs n mtu wa online sanaaa nlikuag na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.