Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ebana napenda kujua ka naweza kupata password za chanel, i.e s sport, chl e, dd movie. plz ka kuna mtu anajua ansaidie
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Mnaweza kunipa link na mimi nika dowenload,wakubwa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Na tatizo la kushindwa kusave video zangu nikishadownload youtube naishia kuziangalia tu sipati option ya kusave into my laptop.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu hebu dadafueni, ukitaka kiiona vizuri angalia youtube video ya T-pain ft wizkhalifa inaitwa 5 O'clock in morning
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi....Ndugu zangu nahitaji msaada wenu jinsi ya kuondoa comfiguration kwenye simu aina ya Samsung D780.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WADAU NIELEWESHENI HAWA TIGO WAMEKUWAJE MBONA WAMEBANIA KUPITA KIASI HADI KUTAKA SIFA? yaani ukiweka 700/= hela ya kutwa hupati mtandao wowote labda Jamii Forum tu au simu yangu ndo uwezo wake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna tuitorial flani ya blender nimeikuta kwenye site yao, natamani niwe nayo ila nashindwa namna ya kuidownload kama unaujuzi jinsi gani naweza kuipata naomba msaada wako SHUKRANI.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
jamani nilikuwa naomba tuzicompete hivi vitu hivi browser ipi ni nzuri kwa mambo y a intanet kwenye simu za kisasa
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kusaidiwa kanuni halisi ya Kutafuta size ya solar,charger control na betri,mimi ni fundi solar
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Haya wana kamii naomba link ya hiyo kitu hapo juu--Nina usongo na Maya 3D nimechoka na 3D max 2010
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wadau kuna modem ya ttcl nilinunua mwez uliopita hii modem tangu nanunua kabla ya kuanza kutumia lazma ufanye setting zake kwanza hii ni pamoja na kuandika namba ya cm kama user name pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumia laptop tajwa hapo juu window Mac os x 10.5.8, kunabaadhi vitu nashindwa kuzifungua na kuinstal kwa mfano nimejaribu kufungua joinAir inaniambia ( there is no default application specified...
0 Reactions
1 Replies
813 Views
How to recover hacked Facebook account Facebook profile account is a valuable online identity for lot of online users. Losing this identity or account to hackers can prove bad considering lot...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wakuu heshima nyingi...!! nina hard disk yangu....ilikuwa kwenye laptop dell latitude D630.. ikawa haiwaki...katika kuichek nikajua ram ndo tatizo nikabadilisha......ila after changing it...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu naomba mnijuze na kunisaidia juu ya hii ishu ya car immobilizer. Kuna suzuki v6 imetia lock ya immobilizer so gari haiwezi waka .Je kuna njia yoyote yakuweza kuanlock immobilizer...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Napenda kujua zaidi kuhusu haya; .How to design softwares? .How softwares differ from applications? .Who are profitable hoster companies of websites? .What is different between wapsite and...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Hi wanajamii mimi nina hoja nataka kuwakilisha kuhusu kumap miji yetu ya Tanzania nataka kuwawashirikisha wale wote wanaoweza kujitolea mda wao kuweka sehemu kwenye ramani ya tanzania ambayo ipo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau natumia modem ya sasatel..vp mpango mzima uleule wa kupunguza gharma(hack..) kama kuna mtalaam humu anijuze.
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Back
Top Bottom