Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba msaada wa kujua tatizo kwani jana nili-install kaspersky antiv..sasa leo naiwasha haiwaki mpk mwisho na inaishia ktk scren inayoonyesha start windows normally au from previous good setup...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WADAU NAOMBA KUFAHAMISHWA NI AINA GANI YA SATELLITE RECEIVER NI BORA (The best) HAPA EAST AFRICA AMBAYO INA UWEZO WA KUSHIKA TV CHANNELS NYINGI. NATAKA KUNUNUA. KWA SASA NATUMIA MEDIACOM PLUS 910...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina Laptop Compaq nc6120, niki-connect kwenye power (Umeme) inastack au kuwa slow mno, nikiitoa ina-perform kawaida. Hivyo nalazimika kuicharge kwanza kisha natoa kwenye umeme na kuendelea...
0 Reactions
5 Replies
949 Views
Hey people nisaidieni codes za blackberry
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Msg inasema"we have an important msg for you to know it call this number 004238770736 free. Shida yangu nahitaji kujua hizo namba za nchi gani? Na vodacom nao wana share na hao?
0 Reactions
37 Replies
4K Views
facebook site leo haifunguki, vinazunguka tuu kila niki refressh inakuaje jamani, help(f1) me
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kama kuna member aliwahi kupatwa na hili hiyo kitu atakubaliana namimi kwamba ni ngumu kuitoa, inasumua ile mbaya
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siwezi kudowenload OperaMin4 inagoma kabisa nisaidieni jamani
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hebu angalia picha hii (negative) kwenye dot nyekundu kwa muda wa sekunde 30 halafu angalia sehemu yenye uwazi kwa muda utaiona in color hii nimeitoa yahoo, i liked it, try it too.
2 Reactions
11 Replies
1K Views
MSAADA JAMANI KWA YOYOTE ANAYEJUA SETTING KUANGALIA VIDEO YOUTUBE KWA NOKIA C1-01 NATANGULIZA Ansate Kwa mawazo yenu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna huduma airtel wameanzisha ya boom club unanunu na kusajili line 2 za airtel kwa gharama ya 1000. Sipo hapa kuwatangazia biashara ukitaka habari waulize mawakala wao. Ila ipo hivi kwa wale...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
wakubwa. kwenye simu zenye uwezo wa kufanya VIDEO CALL.Nawezaje kurekodi mtu kwenye computer. nataka kujua ,je naweza kutumia any wire or device during calling ninarekodi maongezi naomba wajuzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamii... naomba mnisaidie juu ya hili suala limekua likinipashida sana... kwa wale watengenezaji wa website au blog, unakuta umedownload free template lakini wanakuambia haitakiwi...
0 Reactions
2 Replies
753 Views
NIMEFUNGA LNB Ku Band Juu ya C-band ya local Tv nimepata Emmanuel Tv na nyngne nyng nimeweka Freq za 12722 hor SR 26657 nimepata Package ya My Tv africa nzima (kama ilivo DSTV, GTV STARTIMES NK.)...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Greetings, How can the mobile phone industry best contribute to the village, district and national development? What are the roles of ICT community in rural development especially with regards...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
jamani anayejua chochote kuhusu setting za kwenye simu ambazo zinamuwezesha mtu kuangalia video kwenye youtube naomba anisaidie. Maana nlikua nnaangalia video zamani ila sasa nkitaka kuangalia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mtumiaji mzuri wa huduma za tigo hasa huduma ya internet , nimekuwa mtumiaji wa package ya standard month tsh 40,000/- (kabla hawajabadilsha bei )kwa takribani miezi 8 hivi hadi walipo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi! Msaada wa ku update product key ya laptop tajwa hapo juu,plse!
0 Reactions
1 Replies
726 Views
habari zenu wakuu!! mimi nina blog yangu ambyo inahusu intertainment,lakini tatizo kubwa nimeshindwa au naweza sema sijapendezewa na zile templates ambazo blogspot wanzazo (pale katika design...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
For windows7 get the following software from: Microsoft Store Online Then for other versions of windows go to: WinToFlash - Install Windows From USB - Download Page See how the two sofware...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Back
Top Bottom