Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari za kwenu wadau..naomba mnieleze jinsi ya kuformat simu ya nokia 5235 kwa kutumia codes..pia naomba kama kuna mtu anajua wapi naweza kupata OS yake na kuweza kuformat kwa kutumia computer...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Ni miezi mitatu tangu ITV/RADIO ONE watoe matangazo kwamba hawatakuwepo hewani kwa muda mfupi,lakini cha ajabu ni kwamba mpaka sasa hawajarudisha matangazo yao, ajabu zaidi nikua tulikua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mbona modem za tigo na voda zinawork vizuri kwenye laptop yangu but nikiweka ttcl au zantell zinakataa hata kuinstall software zake,na nikiziweka kwenye pc nyingine zinakubali
0 Reactions
1 Replies
635 Views
Wakuu kama kuna mtu ana uzoefu na anayo software hii hapa Tanzania naomba aniPM tuzungumze. Huenda tukafanya biashara.
0 Reactions
2 Replies
961 Views
nitajitoaje na voda swaga great thinkers?wananikata pesa sioni sababu,naomba mnifahamishe nijitoe vip?
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Wakubwa kuna njia moja ya kutuma sms free na inaonekana imekuwa offered na facebook kwasababu step ya kwanza ni kutuma neno fb kwenda no 15666 jinsi ya kumalizia hzo conection mimi pia naomba...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
facebook yangu niki log in inaniambia is unavailable niende facebook.com kwa maelezo zaidi,na huwa naitumia kila siku,sijajua tatizo nini na nitalitatua vipi.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jameni nahitaji msaada huo tajwa hapo juu! kila mara napata erroe messages! settings ziko kwenye Auto updating!
0 Reactions
6 Replies
962 Views
hi guys, my old iphone 1st generation has been stuck; l can not switch it off. when l punch up pass code, the dots are not highlighted. I can receive a call, but not make it. Nimejaribu kufungua...
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Wakuu salam. Natumia simu aina ya Nokia N70. Na ndio imekuwa rafiki yangu mkuu katika swala la internate hasa napokuwa mbali na computer. Tatizo la simu hii haina huduma ya YOUTUBE, Je nawezaje...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"To cripple Nigeria's webspace"! Federal Ministry of Transport website hacked The website of the Federal Ministry of Transport was, just a few minutes ago, hacked, as shown in the above...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
niliisoma hapa lakini sikuilewa..naomba mwenye kufahamu software free ya kuzui bahadhi ya namba za cmu na sms kwenye cmu ya nokia e71 please. Thax.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
When talking to the man, he informed me through HIDS system which in most cases .to mention a few help in assuring that .the situation is not so challenging when it comes to THDST AS THE only...
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Screenr | Instant screencasts: Just click record Software inatumika ku'record events on the desktop. Mfano, kama unapata tatizo fulani na application, ni vyema ku'record nini kinachotokea wakati...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mwenye utaalamu wa kurekebisha machine ya kuhesabu pesa naomba tuwasiliane kwa 0762490080 nina machine inanisumbua. Asante.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Guys naombeni msaada wenu wakutegeneza hii kitu pm me for more details... I need experts on this.. and you will be handsomely paid likifanikishwa....
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa iwapo magazeti ya Alasiri na Darleo yameondolewa online. Mimi nipo mikoani, nahitaji kufuatilia habari za mchana hasa sakata hili la mgomo. Kila nikigoogle sipati kitu, na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kusaidiwa jinsi ya kufanya setting ya tigo/voda internet kwenye simu ya sumsung. Asante.
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Hello Techies I want to set an automated email reminder in MS Outlook 2007 & 2010. My aim to be make sure the email will be sent twice a month for on year without me clicking send. am believe am...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hellow friends. today Am going to teach you how to delete someone else's facebook account. This tutorial is education purpose only, once deleted profile can never be recovered. This is an extreme...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom