Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Natumia nokia 2330 classic. Application ya watsApp messenger haingii kwenye simu, maana kila ninapo search napata whatsApp format ya symbian(.sis) na nokia 2330 haiaccept symbian...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Naombeni msaada.Account yangu ya yahoo inagoma kufunguka kwenye laptop yangu lakini niktumia computer zingine inafungka. Mara zote inakuja "incorrect password".Nimeingia help na kuajiribu options...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jmn huu co mtandao wa ku2mia kama ww ni mtanzania unae ishi maisha ya kawaida, hapa namaanisha kwa wale wa2miaji wa INTERNET Ukijiunga na cheka internet ya sh.500/= wao wanadai eti wanakupa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Helllow, Mobile Monday Dar(MoMo) inawakaribisha katika event itakayofanyika COSTECH siku ya tarehe 6 mwezi wa pili... Theme ya siku hiyo ni Mobile for Rural development... For more information...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watu wengi tumekuwa tuki poteza vitu vyetu vingi kama software,Documents za muhimu au hata kuliwa na virus.au kuwa mbali na vitu tunavyo itaji .kwa Mfano mtu uko moshi CV yako iko Dar [kuweza...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba kujulishwa kuna nyoka flan hv nimefanikiwa kuonana nao mara nying kwa mara ya mwisho ilikuwa leo ndipo nilipomuona nikatafuta fimbo na kumlushia kwenye majani Hawa nyoka wana rangi...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Habarini wana JF wenzangu.Kwa wale wanaoganda na torrents kwa kutokujua kwamba mediafire movies unaweza kuresume,fanyeni hivi... Step-1 When you resume the download it may tell you 'ERROR' or to...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Natumia Nokia N72,tatizo ni kwamba hii simu haikai na charge,ni siku moja tu inaisha,na betri na orijino kabisa. Matumizi yangu makubwa ni INTERNET,ambapo naperuzi mitandao ya kijamii kama...
0 Reactions
14 Replies
38K Views
Ninunue LNB gani kati ya C- BAND ama KU-BAND ili nipate kuona Channel za bure zenyekuonesha MPIRA na MOVIE za NIGERIA + MZIKI, Itayoendana na uelekeo wa (East) wa dish langu bila kupoteza hizi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni kwanini JK alikwepa kujibu hoja ya Sir Tim Berners-Lee wa W3C kuhusu IT technology in Education huko Davos? Au ndo kusema we still manufacturing teachers and textbooks?? Una maoni gani kuhusu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
WanaJf nihabarishen juu ya maada zinazo hit kwenye blog zaid na zinazokubalika(vutia) kwa wasomaji wa blogs? Ni jina gan niipe blog yangu? Na maada gan zitawale? Nataka nifungue blog iliyo bora zaid.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi niko Mwanza,nataka kujifunza Web designing na blogs kwa ujumla.Mwenye kujua tuwasiliane.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu hawa jamaa wa easy tv anijuze!Je sisi wa mikoani tunaweza kuiona?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cell Phone Buying Guide Buying a cell phone is more than a matter of choosing a handset--you also have to pick a service provider, or carrier, as well. Each carrier in this business offers a...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
sasa hivi ni 23:20 Sat 28 Jan 2011 Nataka niandike program kutumia Java ,nikiadd minute inabadilisha saa,saa inabadilisha siku baada ya kufika 2359 na kuadd minute Nipeni utaalamu.
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Wadau, nawasalimu! Naomba msaada namna gani naweza weka video kwenye ipod, files converter ipi ni nzuri?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natumia Nokia 6300, tatizo ni kwamba nikidownload music, video au photos naambiwa "file format not supported", hata nikirushiwa nyimbo kwa njia ya bluetooth tatizo linabaki "file format not...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
nina pc yangu aina ya hp toka jana ilianza ukolofi baada ya kuwa kijana wangu wa dukani eti aliifungua ili kutoa vumbi kwani ilikuwa na vumbi sana kwa kutumia brower,sasa kumbe kuna betri kama ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nahitaji AE program. I want to learn it the hard way. Anyone?​
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Gari limekuja na hii system lakini inaonekana kuhitaji CD ya ku reboot ili ifanye kazi. Nasikia kuna wanaofanya hii kazi. Tafadhali wana jf saidia hapa nimekwama.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom