Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini wadau! Naomba maujanja kuna data ziko disk ila hiyo disk haiwezi funguka mpaka uifomart kwanza! Nawezaje kuokoa data zangu ziwe salama salmini?
0 Reactions
9 Replies
571 Views
Wadau nisipoteze muda wenu, nauliza nje ya mkoa wa Dar Es Salaam ni mtandao wa kampuni ipi ya intaneti/simu ambao naweza kutumia kuangalia netflix au huduma za streaming kwenye smart tv hasa tulio...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam wakongwe ni laptop gani ambayo ni nzuri kwa coders na programmers na kwa bei nafuu? Na swali lingine ni kwamba naweza pata kwa range ya ngapi? Natanguliza shukrani
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Aisee natafuta mtu anayeifahamu laravel vizuri kabisa hasa ORM. Kuna kazi nataka tushirikiane naye malipo yapo. NOTE: KAZI TUTAFANYA WOTE KWA KUSHIRIKIANA KWA UKARIBU ZAIDI PIA...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Ndugu habari, Hivi ni nini kifanyike kwa wale wotee wenye tabia ya ku hack account za watu? Unakuta mtu ana acount yake kapambana sana kupata follwers wake lakini li mtu linakuna from nowhere...
0 Reactions
0 Replies
362 Views
Habari wakuu Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza ..hivi huwa inasababishwa na nn ukiwa unangalia TV wakati mvua inanyesha signal hukata kabisa? Ndiyo kusema ufumbunzi wake haujawahi kupatkana...
3 Reactions
49 Replies
9K Views
Kwa wanaotumia mac book pro pc.. Uki install window seven by (dual boot interface and NOT Boot camp) and thereafter all coresponding drivers get installed (found in original mac os x cd)...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vijana hivi sasa wanakua katika ulimwengu wa kidigitali ambapo Ujuzi na Uzoefu katika Masuala ya Digitali ni muhimu hususan katika Ajira Hata hivyo, Mafunzo katika Nchi mbalimbali za Uchumi wa...
1 Reactions
0 Replies
530 Views
Aja na settings mpya WhatsApp. ====== WhatsApp imefanya mabadiliko kwenye programu yake yaliyotangazwa leo Agosti 09, 2022 ambapo sasa mtu anaweza kuondoka kwenye kundi sogozi bila wengine...
13 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari za mda huu wakuu? I hope mko poaa... Sasa wakuu nlikua nme-lock folders kadhaa kwenye PC hapa, na folder hizi sijazifungua kwa mda mrefu kweli, almost two years. Leo nataka nizifungue...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Umeshawahi kujiuliza hivi ubongo wa binadamu na computer kipi kina uwezo Zaidi?, basi hili swali ni moja ya swali maarufu sana ambalo wanazuoni wengi wamekuwa wakijiuliza na kulifanyia utafiti...
4 Reactions
106 Replies
4K Views
Wadau nisipoteze muda wenu, nauliza nje ya mkoa wa Dar Es Salaam ni mtandao wa kampuni ipi ya intaneti/simu ambao naweza kutumia kuangalia netflix au huduma za streaming kwenye smart tv hasa tulio...
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Habari zenu wakuu, Samahani jamani mwenzenu wakati napiga window kwenye PC yangu ya HP. Limetokea tatizo pale pa kuchagua partition ambapo yanakuja maneno yafuatayo: "Windows can not be...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Nimekua nikiwasikia akina Mwl.RCT akina CHIEF MKWAWA wakisema oooh Sijui Media tek sijui Snapdragon hizi Ni nini? Ipi Ni Bora? Kingine Ni SSD na HDD hizi nini? Nimetafuta Sehemu nyingi...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Ndugu zangu habarini za asubuhi. Jamani nahitaji msaada jinsi ya kufuta account yangu ya FB, lakini nimesahau Pasword na nime-log out muda tu. Nimejitahidi sana kuomba Pasword Lkn imekuwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Iphone a.k.a Gereza la kifahari inaenda kuwekewa asilimia za betri ziwe zinaonekana, zamani ilikuwa unakadiria. Thanks. Android haya mambo yapo kitambo,, halafu hata zile usb cable eti kwa sasa...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Wataalam kwa kusponse matangazo instagram hapo kwenye reques review jamani tusaidiane tunaandika nini ili kuchomoka kwenye guu mtego wa kufungiwa kutangazaa
2 Reactions
6 Replies
442 Views
Salaam wakongwe ni laptop gani ambayo ni nzuri kwa coders na programmers na kwa bei nafuu? Na swali lingine ni kwamba naweza pata kwa range ya ngapi
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Nimelikuta hili friji duka fulani na nikiangalia ni kweli nahitaji kafriji fulani hivi kadogo kwajili ya geto si mnajua tena geto la msela lazima liwe la kisasa. Nimeona nisijepigwa na kitu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa unapoongea na mtu kwa njia ya simu, je! Ni wapi naweza kurekodi maneno yake wakati wa mazungumzo? Naomba kuweleweshwa makamanda wangu.
2 Reactions
8 Replies
516 Views
Back
Top Bottom