Binafsi ninaamini kila mmoja wetu ana ndoto ya kumiliki nyumba yake.bahati mbaya hapa ni kwamba si wengi sana wanaishi na kuitimiza ndoto hiyo..lakini unaweza kupunguza gharama za majenzi kwa...
Sony kiukweli sasa wanataka ugomvi na Microsoft walipoamua kuleta next generation gaming console to the market. Wakati Playsation 3 ilipozinduliwa miaka 5 iliyopita(halafu sisi huku eti zimeanza...
salama wakuu? mimi nilikua na idea kwanini watu watu wa IT tusifanye michakato yakutengeneza ka app ka jf kwenye formats kama jar,symbian,android etc.(kwenye simu) ili iwe haina haja yakuingia...
Wakuu habari zenu nawaombeni munisaidie kiufundi kuna Mtaalam yoyote hapa jamvini anayeweza ku Hacker mashine yangu ya game inayoitwa Sony Playstation 2 ? ili iweze kufanya kazi hata kwa kopi za...
wana jf, natumie Nokia E50, nilishawah install
nimbuzz, lakn ikafutika, now dayz nikiingia
kwny web
yao, nkiclic download
now , haifuction . Msaada plz.
Dear members nina iphone4 version 4.3.5 nataka kui-jailbreak..kuna anaejua fundi gani mzuri hapa dar wa kufanya hii kazi?. Pia nimesikia hiyo version ukijailbreak simu ikizima lazima uiwashe kwa...
Mm nina modem ya airtell so ili kutaka kuchakachua ni mambo yepi muhimu kuwa nayo kama software ipi ni download baaadae ili niendeleee na hatua nyengine. Thnx
Nimeistall timewatcher kwenye netcafe ambayo computer moja ni admin na zingine ni client sasa kila ukizima comp ukiwasha keso prog inasema no feedback ktk computet ambayo ni admn ukicheck comp...
Wakuu simu yangu inagoma kupokea na sms za kampuni ya Tigo na nikijaribu kuregister sms center mamba yao yaani +255713800880 inagoma simu yangu ni aina ya TECNO ya kichina , lakini mitandao...
Nina flash drive sony, ukiiweka kwenye system inasoma kama RAW type file system.ninahitaji msaada wa kuiformat au kubadili file system to fat32,nimejaribu, dos commands chkdsk x: /f...
Nimenunua nikia c3 lakini tatizo nashindwa kupata software ya kusoma pdf nimehangaika net nikapa ez lakini bado ikawa haisomi pdf nkaja nkapata pdf.R nayo ndo kwanza inataka keys plz naomba...
wana jf naomba msaada kwenu naishi kijitonyama nimekuwa natumia modem ya airtel lkn internet hivi karibuni imekuwa slow hasa wakati wa ucku mchana kidogo afadhali
Wadau habari,naombeni msaada wenu,natafuta modem kwa ajili ya matumizi ya internet ya airtel,nimetafuta sana kwy maduka yao lakini wanadai hawana kwa sasa,au naweza kupata wapi modem ambayo ni...
Nimejaribu ku-google lakini bado nipo njiapanda. Kwani kila kompyuta inapo-boot, antivirus inanipa options za kufungua "wusa32.exe", in sandbox,normally au cancel opening.
Wanajamvi napinga piracy hasa ya kazi za watanzania lakini pia napinga watu wanajifanya wako kifua mbele kupinga piracy inayoweza kuwa mkombozi wa taifa letu.
Mfano. Shule na vyuo hazina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.