Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wataalam naomba msaada wa haraka nina sony ericsson k800i ambayo kabla ya kuiflsh nilikuwa napata internet vizuri lkn baada ya hapo nikijaribu ku-google kitu chochote inasearch kwa muda mrefu...
0 Reactions
3 Replies
915 Views
wakuu kwenye pc yangu natumia kaspersky ant virus,lakin naona mda wake uko mwishoni, sas nahitaji msaada wa jinsi ya kuikeep all the time running na sihitaji kupurchase license kam ilivyo..nataka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nina frash yangu ambayo imeanza kunizingua baada ya kumuazimisha mtu mmoja lakini sahivi kila nikiichomeka kwenye pc yangu inanipa hii message'' you need to format the disc in drive G...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada simu G-TIDE G12 xpressMusic nikiwasha inaandika input phone lock code na mimi sijawahi kutumia code yoyote
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nashindwa kuunganisha na internet inaniambia,your browser currently have no configuration.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye kujua ni wapi naweza pata/down load engine electrical wiring. Mchoro wa engine model :1KZ-TE, 1JZ kuna gari ilipata ajari so wezi waliiba baadhi ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
niliweka applicatioo ya theftaware(find me) kwenye simu yangu,na ikawa inafanya kazi vizuri cha ajabu kuanzia jana,hata bila kubadilisha simcard inatuma s ms ovyo tu,wakati ilitakiwa ifanye hivyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana JF mwenye contact za fundi mzuri wa simu please help.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani mie ninatumia wondows server 2003. Ila tatizo haikubali kusoma moderm ya vodafone, so kwa mtu yeyote anayeweza knipa maujanja anigawie na mimi.
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Wana jf je kuna study yoyote inayofanyika kujua website za kitz zinazoongoza, mfano 2kajua top 10 tz websites for 2011?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Duh aiseee!! Lap yangu bana imepigwa na mafua kidogo, display imekufa, so coz ina warrant basi nimeisafirisha kidogo, so kwa sasa Napata shida kidogo kuingia JF hasahasa hili jukwaa letu. Anyway...
4 Reactions
19 Replies
13K Views
Wataalam kuna hii ki2 huwa najiuliza sana. Ikiwa sim,modem zile ambazo huwa zina2mia line moja wataalam huwa wanaziflush (unlock/chakachua) na kuanza ku2mia line zote. Swali langu je kwa...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
A newfound comet defied long odds on Thursday (Dec. 15), surviving a suicidal dive through the sun's hellishly hot atmosphere, according to NASA scientists. Comet Lovejoy plunged through the sun's...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
KATIKA KUANGALIA MOVIE HUWA NAONA HD au 3D..tofauti ni nini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, Ebana wakubwa mi nina tatizo katika mashine yangu aina ya Dell latitude x300,nimenstal OS ya Ubuntu 10.04 tatizo ni kwamba tangu niweke os hii spika kubwa ya mashine yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
yeeeeah huu ndo ukweli kolibri operating system ina mb 1.4 tu na inaweza hata kuingia kwenye flopy ya babu yako hehehe..... Imetengenezwa na menuet os na zipo version 2 kama hujui moja ina 1.4mb...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Naombeni msaada kama kuna mtu anajua agent wa SONY kwa Tanzania nitawapa wapi wanipe msaada kitaalamu LCD yangu haiwaki inaonyesha taa red kama iko Standby mode lakini ukitumia remote kuwasha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naombeni mtaalamu anieleweshe kwanza nimeshindwa kuaccess sehemu ambayo nitaona function ya mtandao ili niweze ona salio na kuongeza hela, pia apple Id imekuwa inasumbua kulog na pia kuna option...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wapendwa wana JF ., hivi hawa nokia dealers kwa hapa dar wapo maeneo gani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu wandugu,kwenye p.c yangu files na folders zote zinafungukia kwnye program moja(microsoft)naombeni mnisaidie tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom