Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Can any body assist me in getting free kapersky antivirus
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna wakati unaweza kufikiria unaibiwa na mtoa huduma ya internet kwakuwa spidi ya internet yako inakuwa taratibu mno,wengine wamediriki hata kwenda kwa mafundi na kulalamika kuwa kompyuta...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Nina modem ya vodafone, zte k 35 70-z nikiiplug in inainstall dashboard software vizuri, nikiwa na connect inatoa error Ras 635,i tried kila ninachojua it wont help.msaada mwenye ujuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba kujuzwa tofauti ya hizo wndow mpya. 1. win 7 + xp mode na win 7 royal xp na wapi naweza kuzipata
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Wakuu Lleo ni siku ya Gonjwa linalonyima wanasansi usingizi . Any way issue hapa ni kuleta mjadala, mtazamo, maoni na dukuduku wa wanajukwaa wa teknolojia na sayansi Chanzo cha HIV kuwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wandugu toka asubuhi ya leo nimeshindwa kufungua site yoyote ya kidunia, ikiwa ni pamoja na social networks zote. Nimejaribu kufungua site za wizara, serekali na hata voda na tigo zinafunguka bila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Top 10 Free Antivirus Softwares It's quite common when you suddenly notice that your files are getting deleted or they are getting duplicated into unnecessary folders. Even after deleting them...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naomba msaada,nimefanya Instalation ya DELL OPTIPLEX 360 kwa kutumia OS ya Window XP service pack 3.Lakini katika issue ya audio inasema kuwa “No audio device” Nimejaribu kupitia Manage lakini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Duh hili tatizo sijawahi kulioana ndio kwanza mara ya kwanza kunitokea. Yaani ni kama zile taa zinazoleta mwana kuona kwenye screen ya laptop zimezimika, kwa hiyo mpaka nichungulie sana ndipo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nina flash nataka kuiformat lakini kila nikijaribu ile njia ya my computer=right click flashdisk=format inagoma. Naomba kama kuna njia nyingne ya kuformat tupatiane maujanja. pia nimejaribu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
naomba msaada laptop yangu haiwaki kabisa ghafla,je nifanye checkup gani ya mwanzo.
0 Reactions
0 Replies
697 Views
KUANGALIA GOOGLE MAP HEBU BONYEZA HAPA Google Maps ? Start here.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1. nikifungua task manager inaniambia has been disabled by ur administrator wakati kabla ilikuwa haisemi hivi 2. jinsi ya kuondoa start up tone i.e ukiwa unawasha au kuzima computer kuna sauti...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanajamii naomba mwenye tutorial za postgresql anipatie... Natanguliza shukurani.
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Naomba kuwauliza wadau hili tatizo la vifurushi vya tigo ni kwangu 2 au? Toka ijumaa mpaka sasa kila nikijaribu kununua vifurush vya tigo net wananipa msg hii 'sorry you can not activate another...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaam JF! Nmepewa simu ina manual ya France....aina ya Sumsung model S 5830 ina GPS na 3G naweka line inaniambia nitapiga simu za dharura tu. Sijui naifunguaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Regular readers of The Windows Club, may be familiar with our several Windows freeware releases. The one common thing among them all was that they were all small portable apps which did not...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Do you like keeping your data up-to-date and accessible anytime, anywhere? If yes,EssentialPIM may prove handy for the purpose. It is a personal information manager that allows you to keep all...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CD DVD data recovery software allows you to recover and rescue lost or corrupted data from damaged and unreadable disks. The top 3 CD DVD data recovery CD DVD Recovery Software Free Download...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Wakubwa, naomba nielekezwe ninapoweza kupata software ya kutengenezea letterhead za kuweka juu ya barua za kibiashara.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom