Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Na2mia nokia xpresmusic 1530. Kila nikidownload video naambiwa invalid web seting. Nifanyeje?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wana jf cc cku zote 2 wamoja mwenye program hii anisaidie bac wajameni.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba kutumiwa au namna ya kuipata TYPING PAL SOFTWARE kati ya version 3 hadi 6. Ninashida nayo sana kwa ajili ya kujifunzia kuchapa katika computer.
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Jamani kuna anayejua ni jinsi gani ninaweza kutengeneza Spirit kwa ajili ya biashara Je ni kweli kuwa gongo ni spirit pia naomba mchango webu jamani
0 Reactions
2 Replies
5K Views
kuna tabia ya watu hapa jf mtu anapost kuhusu labda free internet au any hacking then watu wanampiga vijembe naombeni tujiulize mambo yafuatayo 1.kuna hackerz mzuri duniani kama jeshi la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau natumia simu ambayo inasapoti WI-FI. Sasa niko sehem ambayo hii wireless local area network is detected on my phone (e72). Sasa how to go about surfing the net via this WLAN?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nimejaribu kugoogle na kucheck videos kadhaa za yutube jinsi ya kupost yotube video hapa JF lakini nimetoka kapa, kila nikijaribu nashindwa, NIMETUMIA NJIA TOKA LINK HII...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu nimekapenda haka ka simu kuna mwenye uzoefu nako ili nijue kama kananifaa nipate kukanunua halafu vilevile kwa hapa tz ni tigo tu! wanaouza au naweza pata ambayo sio network locked ili...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndugu wana JF ,ninaomba msaada kwa mwenye program ya typing pal.Pia iwapo kuna anayefahamu jinsi ya kupata hiyo program ikiwa free anijuze.
0 Reactions
0 Replies
865 Views
kimeo changu ni samsung SGH-D780, majuzi nilipakua uc browser java version, sasa kila nikitaka kuitumia inafail kuestablish connection test, naombeni msaada wataalam!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wataalamu wa PHP its another problem I've encountered while trying to install a WAP community script. Tembelea hapa uone error yenyewe. It's in the core.php and register.php files...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Jaman naomben msaada kwa yeyote anayeweza kunielekeza namna ya ku divert namba ya mtu akipigiwa nisikie
0 Reactions
6 Replies
16K Views
Port Scanning Port Scanning is one of the most popular techniques used by hackers to discover services that can be compromised. A potential target computer runs many ‘services’ that listen at...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What is CAPTCHA and How it Works? CAPTCHA or Captcha (pronounced as cap-ch-uh) which stands for “Completely Automated Public Turing test to tell Computers and Humans Apart” is a type of...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Nilipokuwa na fomati computer ni fomati na flash aina cruzer blade 2gb,sasa ime collapse nifanyeje iliiweze fanya kazi?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Siku zote modem hazijatengezwa katika kiwango chake cha "kudownload data" pamoja na ku "upload data". Baadhi ya Internet service providers( ISP) hubadilisha firmware za hizo modem,hivyo ipo...
2 Reactions
43 Replies
13K Views
Bill Gates' house was designed using a Macintosh computer. One of every 8 married couples in the US last year met online. The first domain name ever registered was Symbolics.com. "Stewardesses"...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nimebaini hapa jukwaani kuna watumiaji wengi sana wa blackberries kuliko vile nilivokuwa nategemea. Simu izi zipo tofauti sana na simu za kawaida na inavitu vingi sana ambavyo watu wengi...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Naombeni mnifahamishe undani wa hizi simu,ipi nzuri nahitaji moja wapo
0 Reactions
11 Replies
2K Views
jamani cm yangu ni tecno tv 60, haitaki nidownload kitu eti hamna space, operamin yake inakuwa online for only 300 seconds, msaada pls
0 Reactions
1 Replies
940 Views
Back
Top Bottom