Wakuu, for once lets think outside the BOX!
Kwani DSTV ndio option peke yake? DSTV hatuipendi kwa sababu gharama za ziko juu, kwa wapenzi wa mpira (latest movies na series una download kwa...
Ngudu wana technolojia, naomba kujua kama kuna software yoyote inayoweza kutafsiri kutoka lugha moja kwenda nyingine kwa sauti, namaanisha hivi kama nikiwa na audio file la kifrance au kijerumani...
Wadau naomba msaada sim yangu inakata network na kurud na kila ikikata inaandika sim card registration failed then check info service sasa nashidwa kujua chanzo cha hili tatizo na kwanin hivi!¡...
Katika kile sekta ya technology, kuna mabo yanafichwa. Hizi i codes 10 ambazo haupaswi kuzijua Codes 10 ambazo haupaswi kuzijua - iCombined | Together We Make it Shine
Sehemu ya ujumbe aliowatumia wafanyakazi wake aliyekuwa CEO wa yahoo carol Bartz kuwajulisha kuwa katemeshwa mzigo
..........To all,
I am very sad to tell you that I've just been fired over...
kwa wale ambao hawajawahi pita kwenye link hii SERIALS & KEYS - UNLOCK THE WORD! unaweza kujichotea keys nyingi tu na kuna ka column upande wa kushota kameandikwa partners kametoa link ya site...
Jambo hili linanishangaza sana ninavyofahamu mimi tafiti nyingi za kisayansi zinafanywa baada ya tafiti husika kupata fund. Baada ya tafiti husika kukamilika ili mtu uweze kupata taarifa kutoka...
Nataka kununua LED TV kati ya Brand zilizotajwa hapo juu, lakini mi nimechanganyikiwa ninunue ipi kati ya hizo? naomba ushauri wa kitaalamu na uzoefu katika hizi led tv mbili. Niende kwa Sony au...
Wataalam
Nimetengeneza Web Driven Database kwa ajili ya Ofisi yangu ambao ina wafanyakazi kama ishirini hivi. The Database is up and running. Katika plan yangu nimededicate computer moja ambayo...
Aisee jamani technoligy imeendelea.... hebu angalia hapa Audi A9 inajitengeneza na kujibadilisha rangi yenyewe! - iCombined | Together We Make it Shine
WanaJF nimerudi tena bado naomba msaada wenu!
Nilikua siwezi kufungua external Device yangu ikidai niiformat, nimepata ushauri mbalimbali na nikaufanyia kazi, kilichotokea baadhi ya software...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.