Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba niulize tena huku; Nataka kununua charger ya battery ya gari ili kukabiliana na mgao wa umeme. Je, zinapatikana wapi, na kwa bei gani?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wajumbe samahanini hiv katika ufuaji wa nguo kuna baadhi ya nguo huwa zinachuja rangi(kuacha rangi yake katika maji pindi ufuapo) je kuna mchanganyiko wa kitu au kemikali inayoweza kuzuia tatizo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
je Umewahi kuztaza hii dcuemntary video kuhusu consipircay theory ya HIV AIDS? Nni chanzo cha HIV na nini inaweza kuwa chanz cha AIDS? (kwa mujibu wa mawazo mbadala...) Tazama hii shocking...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau, naomba mnisaidie, nilinunua laptop ya hp pavillion dv9000, ya mtumba yenye window 7,kufika nayo huku kijijini, nikifungua my computer sion cd rom,na hata ukiweka cd inazunguka tu haisomi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cheki huu mfano,nunua usb cable extension na utumbukize modem yako kwenye chombo cha aluminum.utapata signals za ukweli! HIYO PICHA YA MWISHO KULIA NIMEJARIBU KUONYESHA MODEM IKIWA BADO...
7 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau naomba msaada wa kuhamisha namba simu kwenye iPhone kwenda simu nyingine
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamii wenzangu naomba msaada ni jinsi gani nitaweza kpiga na kpokea simu kwa ktumia moderm yangu?
0 Reactions
3 Replies
967 Views
There is a problem with this website's security certificate. The security certificate presented by this website has expired or is not yet valid. Security certificate problems may...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wataalam natafuta power supply ya desktop Gx 520,naomba aliyenayo aweze kuni pm, all the best
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Apple Pays First iPhone Compensation Apple has made the first compensation payment to a user of its popular iPhone over the collection of location data without consent. Apple Korea agreed to...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
HOPE MKO POA IT ENTHUSIASTS WENZANGU, NIMEFANYA KAUTAFITI KADOGO KUHUSU CCTLD (COUNTRY CODE TOP LEVEL DOMAIN) YA TANZANIA YAANI .CO.TZ IPO WAZI NA INAELEWEKA ISSUE YA DOMAINS NA SUB-DOMAINS...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
How To Get The Current Date and Time In Excel Question: Is there a way to get the date and time automatically by creating a formula? Answer: This is an easy one - use =NOW() to get the current...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mtumiaji wa apple products (iphone, ipod ...), leo nlikuwa nabrowse appstore, nkasearch "swahili", then nkapata results apps za kiswahili, hicho kilinifurahisha, lakini kilichonisikitisha...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba wataalam mnisaidie, laptop yangu najaribu ku access internet kwa simu yangu C2-01 kutumia bluetooth, software ya Nokia niliyonayo ikijaribu kuunganisha inashindwa inataka niweke cable au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau yahoo inanizingua kila nikitaka fungua mara nyingine nikifungua tu inaandika "server hangup" au nikifanikiwa kufungua nikiklik kwenye mail inaandika "connection closed by remote server"...
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Wakuu naombeni msaada kodi najua kuzichapa tatizo ni kupata domain'na server halafu shida nyingine nahitaji kuongeza page nyingi but nashindwa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Whether at home from your Internet box or on the move from a free or paid hotspot, it is possible to connect to the Internet using a WiFi connection. If your mobile phone (or smartphone) is WiFi...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
waungwana jamani mnielekeze niweze kuunganishi simu yangu aina ya blackberry curve 8520, software ya kuitambulisha nimeiweka
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Waheshimiwa nimedownload file lenye extension .rar kwenye komputer nikitaka kuunrar linaniletea sehemu ya kuingiza password, na mimi sina password. je ntafanyaje nipate kufungua? Msaada tafadhari...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu wapendwa, Hiyo website hapo juu imekuwa ikitusaidia sana kujua kodi ambazo kwa muagizaji wa gari toka nje anapaswa kulipa. Ila kwa hv majuzi imebadilika. Tulizoea kuweka fields za mwaka wa...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Back
Top Bottom