Washirika hamjambo the greatthinkers? Natafuta software ya autodesk autoCAD electrical compatible na win7 64-bit. Yeyote anaweza kunisaidia jinsi ya kuipata.
Habari za kazi wakuu!!
naomba msaada jinsi gani naweza kudownload google earth toka kwenye internet na kuiinstall kwenye laptop
natanguliza shukrani zangu
hello guys,
nimekuwa ni kitumia hii ping utility almost for a long time ila my question is how do i calculate RTT?(round trip time)
and what does TTL mean in ping?why do these TTL differ ukiwa...
Wakuu,
Nimetengeneza blog ila tatizo kila nikiiangalia naiona kama ipo local, Naomba maoni na mawazo yenu nifanyaje ili blog iweze kuwa na visitors wengi per day na iwe na muonekano mzuri. Blog...
Plz kuna jamaa yangu yupo mwanza anatafuta used computer inayo range laki 3 hadi laki 3.5...specification kama ni Desktop: Hdd 120GB au above,Monitor Hp 17". Kama ni laptop iwe ni Hp/dell hata...
Natumai mpo poa wote! Nnatatizo 1 ambalo huwa nnapotumia mozila firefox kuingia ktk account yangu ya facebook inafunguka vizuri bila shida, sasa tatizo linatokea nnapokuwa nnachat na marafiki...
habari wana jamii?
Tafadhali mwenye software ya canon photocopy iR2016 anisaidie wandugu. Mimi nipo mtwara na nina hii machine nashindwa kuitumia.
natanguliza shukrani zangu
Nilidondosha laptop yangu Dell Inspiron 1525, ikaharibika kioo nikanunulia kingine ila kila mara natakiwa kuadjust mwanga badala ya yenyewe kutoa mwanga wa kutosha hata ukichomeka chaja kwenye...
Warning LAPTOP CAN COST YOU LIFE This is very crucial READ IT ALL A well-known family lost their 25 year old son in a fire at home. This is what happened: He graduated with MBA from...
wakuu na wawezeshaji wote wa JF poleni na kazi na nawatakia kila la kheri na kazi .
nina wazo jipya sina uhakika kama litakuwa jipya kwa kila mtu , lakini nitajaribu kulielezea kwa kadri...
Wadau nimejaribu ku download hii software lakini mwisho wa siku inakuja iliyo compatible na windows xp ambayo hai enable "Download this video". Nielekezeni cha kufanya tafadhali
jamani naomba mnisaidie wa jf,hard drive- external yangu inagoma kusoma kwenye komputa,nmejaribu kubadilisha komputa mbalimbali pia imegoma,kuna mtu amenambia kwamba ninaweza kuilicova sasa naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.