Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu Nina tatizo anayejua anipe ushauri i wa kitaalam. Ninadevelop ka webblogwesite kwa kutumia CMS sofware ya wordpress ili niweze kufanya customisation nazotaka ninatumia webhost au...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Open source anti-theft solution for Mac, PCs & Phones – Prey 100% geolocation aware Prey uses either the device's GPS or the nearest WiFi hotspots to triangulate and grab a fix on its...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba Kuuliza, Nawezaje Kutumia Internet Kutoka kwenye simu na Niweze Kuconnect na my Laptop?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wataalamu jana nimefanya format mashine yangu ya home dell nimeweka window XP serv pack 3 baada ya kumaliza kuformat ikapoteza sauti,na pia picha zikawa na scratch sana na font zimekuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani mie nilicreate admin account kwnye mashne yangu sasa nimeisahau. Sitaki kuformat coz ntapoteza data,nilijaribu kuingia kwa guest a/c af nikatumia command lakn bado inagoma. Je nifanyaje?
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Nawasalimu wanaJF wote kwa jina la bwana yeye atutiaye nguvu. Jamani naombeni kuwauliza wataalamu ni aina gani ya SATELLITE FINDER ambazo ni orginal na bei yake ni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, Nilikuwa Na-update Blackberry yangu curve 8320, ambayo imetolewa na vodafone, Wakati Na-update nilipata tatizo la simu ku-stack na kushindwa kuendelea na update, Nilijaribu kuichomoa betri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
When I click compose mail, i just get the loading message and nothing else.what can i do so that i can write a message?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
haya jamani,kwa wale tunaoishi milimani kama morogoro umefika wakati sasa wa kufuata kilimo cha kisasa high technology with high yield,hiyo itasaidia kuondoa matatizo ya njaa,mmomonyoko wa udongo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari! kuna Notebook Compaq nimeiona mahali nikaipenda nataka inunua tatizo imeandika Operating system yake ni FREE DOS. Naomba kujua hii ni nini hasa na je kama nikiinunua naweza instal OP...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
mi shida yangu ni kwenye laptop yangu ya note book sumsung n150, kila nikiingiza activation keys za window 7, na VISTA ginuine zinagoma, nimejaribu hata kutumia key loader , pia zinagoma, bado...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WanaJF wote nawapa heshima. Mimi ninaye kijana wangu ni fundi mzuri sana wa tv satellite dish such as pay and free to air na mwenye akili nyepesi sana katika kujifunza Hivyo anahitaji kupanua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wana sayansi na teknologia, najua wengi wetu baada ya kuona hiyo headline kama kawaida mawazo moja kwa moja yameenda kwenye yaleeeeee... mambo yetu yale!!!!! ha ha ha teh teh teh...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Ebwana wakubwa mambo vp? Naombeni kufahamu Tv Link ni kifaa cha aina gani? Na kazi yake ni nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna tatzo lmetokea i dont know but mda so mrefu nilikua na access account yang kwenye mobile but saivi inambia account temporary unavailable. Nashndwa kuelew tatzo ni lipi jaman naomba msaada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WanaJF, Nimekuwa nawaza ni kwa nini Tanzania bado maentrepreneure bado ni wachache wengi ni watu wa Asia. lakini Pili Jirani zetu wa Kenya kila kukicha wanatupiga bao, na hata hii juzi...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
inakuwaje wakubwa? natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wana jf wote tatizo langu ni kwamba natumia simu kama modem kwa sasa speed inanionyesha kuwa ni 921.6 kbp,kiukweli sijaridhishwa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba wadau mnisaidie security code ya simu aina ya Nokia 2700.Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndg wana Jf, Naomba msaada wa jinsi ya kuirejesha email yangu ambayo imevamiwa jana na kusambaza ujumbe kuwa naomba pesa kwa watu wanisaidie eti nimeibiwa, jambo ambalo si kweli. Nilikuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari zenu jamaa nimeshindwa kuweka avatar katika profile yangu so namba mnipe procedures za kuweka avatar :confused3:
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…