Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada wa..... hebu ngoja nitoe kwanza maelezo ili mjue nahitaji nini. Hapo mwanzo nilikuwa naitumia modem tajwa hapo juu lkn sijui nilikosea wapi ile...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilikuwa natumia WhatsApp sasa nilisahau ku update,ime expire nimei jaribu kwenda playstore ku download nyingine lakini imekataa kabisa[emoji134] Kuna documents muhimu nategemewa kutumiwa, naomba...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Hamjambo, mimi si mjuvi kwenye mambo ya games ila mara nyingi nimekua napigwa kwenye pad za ps2 na ps3 Naomba mnisaidie jinsi ya kuzitofautisha pad imara za duka na fake Na pia pad imara za mtumba...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kati ya vitu vinakera Basi nikutumia simu kwa mashaka ya kukuishia charge/kuzima kabla ya muda ambao hutarajii/hukupanga kuicharge. Raha ya smartphone yeyote ni kuitumia kwa uhuru kadiri ya...
3 Reactions
113 Replies
17K Views
wadau na ombeni msada wenu nashwindwa kuelewa kwa nini tuvuti nyingi za Tanzania zikiwemo za serekali na watu binafsi zinachapishwa kwa kingereza huku walengwa tukiwa ni raia wakawaida kabisa...
1 Reactions
7 Replies
838 Views
Nina dell latitude E5430 Ram yake 4GB ina 64bit n Core I5 gen 3 Inaweza fit windows 11 wakuu
1 Reactions
15 Replies
882 Views
Wanajamvi natumai nipo sehemu sasa ambapo naweza kupata msaada kutoka wa wataalam wa JF. Wakati nipo Dar nilikuwa natumia mtandao wa TTCL kwenye vifurushi vya internet na kasi yake ilikuwa ni ya...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu naomba kufahamu maujuzi ya kutumia monitor ya computer kuunganisha receiver mfano ya dstv au azam. Pia naomba kujua ubora wa picha zinazoonekana na mwisho ushauri juu ya monitor nzur kwa...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Wakuu nataka kununua simu ya Samsung. Sasa kuna hizi A series na J series. Je, ipi ni mzuri kwa budget ya shilingi laki 6 hadi 8? Au hata S series pia ipi nzuri?
7 Reactions
156 Replies
23K Views
Poleni na majukumu wakuu na habari zenu Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni. Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau habarini za siku, mwenzenu hapa usiku wa kuamkia leo nmeibiwa simu yangu, nimeenda polisi nimefata process zote ila wamesema kuitrack kwa Imei inaitajika nitoe tsh 150k, lakini swali...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nna PS Vita yangu, nnaacheza game zile zile ningependa nidownload game zingine then niweze ku'install kwenye PS vita ambayo ipo cracked...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Write a program which repeatedly reads numbers until the user enters “done”. Once “done” is entered, print out the total, count, and average of the numbers. If the user enters anything other than...
1 Reactions
6 Replies
675 Views
Taiwanese Semiconductors Manufacturing Company au TSMC ndio kampuni maarufu inayotengeneza chipset za simu za kiwango cha juu au flagship phones kama Huawei P40 Pro, Iphone 11 Max Pro, Samsung S20...
8 Reactions
27 Replies
4K Views
Jamani nahitaji kuunda circuit ambayo itatrigger alarm iwapo D.C Voltage itashuka below 0.35V Sidhani kama itakuwa complicated sana as ndio circuits ambazo zinatumika kutrigger notification ya...
0 Reactions
7 Replies
733 Views
SOFn,DQT or DHT JPEG marker is missing befote a JPEG SOS marker. inaniletea haya manemo msaada wanajamvi
0 Reactions
2 Replies
477 Views
Napata error message "SERVICE REQUIRED" na waste ink counters zimefikia 100% na zime block printer from running again untill resert is done. Nahitaji kujua kama nitaweza resert bila gharama manake...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mfano nimeona picha ya mtu kwenye Mitandao nataka kujua ni Nani au I'd zake za online ..Una search vipi? Nimewahi sikia Sana kuhusu image search but sijaelewa inafanyaje kazi au kuna apps za kazi...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Halotel wako vizuri mnoo speed inasoma 35.8 mbsp
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom