Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hivi lenovo V14 SMD 3020E Kiuwezo ipoje inaweza kufanya mambo mazito? Mfano. Ku run Photoshop, Games kubwa kubwa? Chief-Mkwawa
1 Reactions
9 Replies
793 Views
Wakubwa Natumai Mu wazima wa afya. Niende kwenye Mada moja kwa moja Wakuu laptop yangu Hp elitebook 2760p RAM 4GB HDD 500GB Window 10pro nikiiwasha inaniletea maelezo hayo msaada tafadhali
0 Reactions
6 Replies
1K Views
2021 is about to end in the next three months and that means there is another cycle of WhatsApp ending support for some Android smartphones and iPhones. WhatsApp has shared a list of devices that...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau ulizeni chochote kuhusu ving'amuzi viwe azam,continatal'statimes.zuku nk
5 Reactions
218 Replies
54K Views
Nimejaribu kuingia mtandaoni kudownload flash file ya TIGO smart kitoch kila inayokuja inakuja na password unapotaka kui extract hivo kama una faili isiyo na password nipatie link
2 Reactions
72 Replies
15K Views
Natumai ni wazima was afya, Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni INFINIX tukutane tupeane utundu, ujanja wa Yale yaliyomo ndani ya simu hizi, binafsi natumia INFINIX...
4 Reactions
27 Replies
9K Views
Wataalam wa Technology habari zenu, Bajeti yangu ndogo ila natamani nimiliki Iphone katika pita pita zangu nimekutana na Iphone S6 ambayo inaendana na Bajet yangu ila wasiwasi wangu ni kwamba...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwa 600k niwapi naweza pata laptop nzuri yenye ubora ikiwezekana kua na graphics card au/na SSD itakua poa Chief-Mkwawa
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakuu kaTV kangu ka SingSung inch 24 imevunjika kioo. Nimeogonga kwa bahati mbaya. Nauliza TV ikipasuka kioo inaweza kupiga nyimbo kwa USB/flash ya kawaida. Yaani nina uhakika kila kitu kizima...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi inawezekana ukabadilishs battery pindi battery likianza kuwa dhaifu au kufa kabsa.? Utaratibu wakubadilisha battery ni mwepesi au mpaka uende center za kampuni zao za simu.? Kati ya Non...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nilisoma comment ya mdau mmoja humu forum akielezea uzuri wa TTCL. Mimi nina maoni tofauti, ambayo huwa yananipa mawazo sana. Kwanini nasema hivi, Kwannza hawako business oriented, kuna vitu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habar wadau nimekwama hapa Kuna file lima 60 GB nataka kulidownload halotel 1500 unapata GB 5 Total 18000 Wapi nafuu niende
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wadau! Msaada free vpn nzuri nayoweza kutumia hapa bongo msaada wa link pia. Asante.
5 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu habari za humu. Ninaomba msaada wa namna ya kurudisha IMEI kwenye simu ya HUAWEI Y5 PRIME 2018. Kila nikiangalia inaonyesha null kwenye slot zote mbili...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada wenu tafadhali ninatumia simu ya samsung Note9 ninahitaji app nzuri ya free ya kurekodia sauti kwa ajili ya matangazo nilizojaribu kuzidownload hazichuji sauti vizuri ila nilibahatisha moja...
2 Reactions
2 Replies
567 Views
Hamjambo bila shaka. Leo naingia nijiunge bundle la week nakuta vifurushi vimepunguzwa gb kwa 50℅ Gb 2 kwa week ambazo nilikuwa nazipata kwa 3000 now ni 5000 huku gb1 ndio 3000. Napo hizo gb 2...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Kwa band hizi zitafaa kwa mtandao gani?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wadau Kama kichwa kinavyojieleza naombeni mnielekeze juu ya kuconnect deck na simu ya Android
1 Reactions
1 Replies
516 Views
Nimekuwa nikitumia halotel hawa jamaa sasa hvi ni bure kabisa kuanzia bei za vifurushi vyao mpk kasi ya mtandao, kifupi wanaboa sana. Naomba kusikia wenye ufahamu wa mtandao wenye internet ya...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Wazee naomba kuuliza kwa mtu anaeweza kunielekeza mahali ninapoweza kupata kifaa hicho
0 Reactions
2 Replies
366 Views
Back
Top Bottom