Halotel ambao waliingia kwenye soko na kufanya mapinduzi kwa kutoa kasi kubwa ya Internet sambamba na bei nafuu kuliko watoa huduma wote waliowakuta, hatimaye wameshindwa kuendelea kutoa huduma...
Mambo zenu,
Am so down yani,nina TTCL,HALOTEL,AIRTEL,TIGO ila hakuna hata line moja nayoifurahia huduma zake esp za data.....
Yani speed zao ziko very very low,naexperience unstable connection...
Habarini, naombeni kufahamishwa app ya uhakika, ninayoweza kuitumia katika PC kuandika simulizi na makala marefu, kisha kuya-post fb, IG, tweeter na WhatsApp.
Natanguliza shukrani za dhati!
Sent...
Wakuu iko hivi, natumia redmi 8a grobal ROM ila naona wakuu data consumption imekua extra ordinary, yani najaribu kutumia app kama netguard lakini still vile vile kusurf tu JF saa 1 inatembea MB...
Wakuu nina sonny hometheater sasa haina option ya bluetooth sasa nikaenda mahali nikakuta bluetooth device aina flani nimeitafuta sana kama kuna mtu anajua precisely ni wapi pa kuipata pls
Habarini wana jamvi,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nikilog in wanataka niverify kama akaunt ni ya kwangu, kwa hio wanatuma verification code kwenye namba ambayo nishaipotezaga
Na hamna...
Jamani naomba kuuliza nitaweza kusolder kwa soldering gun bila yakuwa station na kama ndiyo je station ina matumizi gani? Na inapatikana kuanzia kwa Tshs ngapi?
wakuu samahanini nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu course ya bachelor of science in information system kweny upatikanaji wa ajira zake na hata uwezo binafsi wa kujiajiri..m ni first year mtarajiwa
SITTA TECHNOLOGY tunasuka inverter zenye ubora wa hali ya juu kuanzia 50W-5000W na warrant ya miaka 3, hata ukiwa betri ya 6v inatoa umeme wa 220V,inakula umeme vzuri,si rahisi kuungua zaidi ya...
Hello wanaJamiiForums,
Bila kupoteza muda twende kwenye point ya kichwa hapo juu. Nitaeleza short jinsi ya ku access kozi yoyote kutoka UDEMY for free bila payment yeyote.
Watu wengi wamekua...
Mimewahi cheki movie moja imetengenezwa na iphone 6 kama sijasahau. Huwezi jua ni movie ya simu kama hujaambiwa. Sasa nilikuwa naangalia uzinduzi wa products za apple uliofanyika jana. Hii iphone...
Picha ya hapo juu ulikua ni Uzi wangu ambao niliuleta hapa hapa jamii forum mwaka 2017 mwezi wa 11 ,,kipindi ambacho nilikua nimechoka kufanya kazi niliyokuwa naifanya na nikawa naskia skia eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.