Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Bila shaka mtakuwa mmesalimika nyote ma bibi na mabwana husiken na kichwa cha habar hapo juu.
Kwa yeyote anayefaham apps nzurambayo kama...
Wakuu Kwema.
Youtube ndio Application Namba Moja ya kustream na kuwatch Music bila Shida yoyote, Naomba Msaada Wa Kujua Namna Ya Kuangalia Video Youtube Huku Nikiendelea Kufanya Vitu vingine...
Binafsi natumia MB 600 hadi 1.5 GB kwa mwezi kuna kipindi hata mwezi hauishi nimesha maliza had GB 2.
Njia gani nitumie nipunguze matumizi ya bando?
Na wewe unatumia kiasi gani cha bando kwa...
Kujua aplikesheni zinazotumia zaidi data.
Nenda sehemu ya settings(Mipangilio)
Kisha bonyeza kitufe cha
Network & internet/connections(mtandao na miunganisho)
Kisha bonyeza Data Usage(Matumizi...
Wadau cm yenyewe ni tecno m3 imeanza tatizo hilo baada ya kuflashiwa coz ilipatwa na tatizo la bootloop, nimejaribu kuinstall custom rom nilioyoipata toka site moja ya nigeria [keslar rom] ina...
Wanajamvi kuna kipindi niliona thread ya code za kuweka kwenye simu ili usipatikane kwa muda,naomba mwenye kuzijuwa hizo code au aniunganishe kwenye thread husika.
Sambamba na huyo mtaalamu ambaye nataka atengeneze Jalada lenye mvuto
nahitaji kujua kama unaweza kukitengeneza kitabu kupitia Microsoft Word pekee
au ni lazima kiwekwe kwenye page make,r ni...
Wakuu,
Ni sehemu gani salama zaidi ya kuhifadhi nyaraka mbalimbali kama vile picha na document katika simu?
Usalama ninaozungumzia hapa sio kuficha mtu asione ila ni sehemu ambapo hata ikitokea...
Ninatumia samsung A 7 ya mwaka 2017, na ninaiona iko vizuri kuliko hizi A series nyingine zinazotoka miaka hii hadi zimefika A51, je kuna tofauti gani ya kitaalamu kati ya hii A7 yangu ya 2017...
Habarini wadau,
Naombeni msaada katika simu yangu hii ya INFINIX HOT8 LITE katika vitu hivi.
1.Ukifungua katika contacts hakuna namba zozote zilizopo na nikitoa line katika simu hii na kuweka...
For Americans concerned about their privacy, the NSA data grabs are daunting, but what about the data grabs happening inside your own home, perpetrated not by the government, but by your coffee...
Habar wakuu,
Jamen simu yangu ya button inanisumbua san mda mwingi inaandika emergency iv kuna uwezekan wa kuiongezea mtandao kama nikiipeleka kwa fundi au kama kuna mdau ana ujuzi wa haya mambo...
Habari natumai mu wazima ila nilikua na swali ambalo ningependa kupata ufafanuzi wa ndani
Tapatalk ni nini?
Maana naona baadhi ya member kwenye last activity yopo on Tapatalk hii sijaielewa...
Wakuu habari naomba niweze kufahamishwa huu muungurumo unasababiswa na tatizo gani. Ni ki fridge kidogo cha Mr UK na huwa linawaka na kuzima automatic lakini siku za karibuni lilipata shida ya...
Wakuu hii app kwenye simu yangu huwa haikubali kuupdate kabisa japo huwa inanipa taarifa kuwa kuna new update.
Naomba kujulishwa km kuna namna ya kufanya zaidi.
Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini...
Habari wadau Samsung galaxy s4 android 5 ikiwa na 32gb rom 1.8ghz cpu with exynos 5 octa core na ram 2gb korean version.
Au ambao mnatumia international version vip bado inafaa kwa matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.