NI SMARTKITOCH CHA TIGO KUTOKA ITEL (it9300)
Je, Ulitumia booty key ipi?
Au haitumii booty key wakati wa kuflash?, kama ni ndio ulifanyaje mpaka haikujiwasha ulipo unganisha katika PC?
SHARE...
Kwanini kila wakati mnashusha bei ya bidhaa zenu ?
Leo unakuta mtu anauza/kutengeneza tovuti kwa laki nne kesho tatu keahokitwa mbili mara laki na 80 sasa hii biashara haiko stable kiasi hicho au...
Natumia laptop lakini nashindwa kurusha material yangu kama picture na document kutoka kwenye simu kwenda kwenye laptop. Kwa sababu sioni option ya bluetooth kwenye laptop nawezaje kupata hiyo...
Leo nimeweka vocha ya 1500 nimefanya na setup ya torrent nikitegemea kupata GB 10 za usiku nishushe series nakuta kifurushi hakipo
Voda walishakiondoa siku nyingi sijui tunahamia wapi sasa wazee...
Jamani naombani msaada hivi nikitaka kuconnect AdSense to YouTube channel nitalazimika niwe na website au hata nikitumia blog yenye Blogspot nayo itakaa poa.
Hi..
Hi ni kwa wapenda luxury [emoji6]
Hi ni wireless mouse inayounganisha pc au desktop na smartphones iwe android au iPhone
Anza kwa ku downlod remote mouse kwenye computer yako
Kisha download...
Utasikia sema unataka viewers, hivi ukikaa kimya unapata shida gani?
Watu wanapambana wapate pesa ya kula wewe unaponda, vipi kama angekuwa ndugu yako unaemfahamu ungenena hivyo?
Wacheni watu...
Habar za majukumu wanajamvi! Msaada jaman kwenye tuta, na download whatsapp gb kwenye cm yangu inagoma kwa anayejua tatizo nn naomba anisaidie....natumia samsung A03s.
Asanten nawasilisha
Hodi wanajamvi,
Naomba tujuzane huu mtandao wa UDEMY ambapo unaweza kusoma masomo mbalimbali kwa malipo kidogo. Kutokana na ushamba wangu kuna jamaa angu akaniambia kupitia mtandao huu unaweza...
Habarini,mimi huwa najiuliza maswali mengi sana hivi kwanini mitandao yetu yote hapa Tanzania vifurushi vizuri na vya bei nafuu vyote vipo kuanzia usiku yaani Sa sita usiku hadi sa 12 asubuhi au...
Hii mada kila mtu ataandika code yake hapa ili kuonyesha reaction yoyote kwenye app, au web development mimi naanza na jinsi ya kuweka slide show kwenye website, application kwa kutumia...
Nimenunu hizi battery za Sony nimeweka kwenye hii remoti ndani ya SIKU 1 tuu zimeisha chaji, nikadhani labda nimepigwa, nikaenda sehemu nyingine nika nunua kama hizi hizi nazo ndani ya siku 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.