Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hello naomben nipate maujuz ya kuactivate IDM kwenye PC bila kuilipia au kama kuna application nyingne za kuongeza speed ya kudownload file na videos kwenye pc ukiachana na IDM naombeni pia.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu kwema humu jukwaani jana litok kununua studio microphone kuifunga ikawa inatoa sauti kama ya upepo shhhhhhhh. Nilikua naomba kujuzwa namna ya kuiondoa au mic itakua chenga. natumia mixer...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Jamani naomben msaada nina shida na hiki kisimu changu itel 2173, nilivyokinunua nilidhani ningepata wepesi kwenye upande wa meseji kumbe mambo ndivyo sivyo. Nikienda kwenye meseji input method...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Bendera za baadaye za Samsung zinaweza kuunganisha familia za S na Note Chris Hall, Mhariri · 24 Agosti 2020 · Habari POCKET-LINT FacebookTwitterPintrestLinkedInMail Kwa nini unaweza kuamini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini nyote, kama mnavyofahamu Battle royal games zimekuwa popular na kukimbiza kwa kuingiza earnings almost everyday. Ningependa kujua kati za hizi games Battle royal lipi ambalo unacheza...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakubwa wazo nalo liona bora kuukuza mtandao wetu huu pendwa na kuwa ndo mtandao mkubwa na wenye Gharama nafuu sanaa. Kwakuwa utahudumiwa na Serikali kisha na mwananchi atachangia kwa unafuu wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Simu yangu samsung S6 imeandika ivi gafla na imejirock. "ENTER NETWORK UNLOCK CODE" Natanguliza shukrani.
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Habar mafundi, Samahan nimepata tatizo mtoto kuchezea passcode na baadaye simu kujifunga na ujumbe kujitokeza iphone disabled. Nimejaribu ku restore ila imeniomba apple id na password na katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu Simu za aina yoyote ile pamoja na kamera za aina yote.
5 Reactions
67 Replies
7K Views
Nauza YouTube channels :) subscribers : zaidi ya 1500 + watching time hours : zaidi ya 1500 + UPDATE (HAZIUZWII TENA ZIMEISHA)
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Game yangu ya call of duty 4 inaniandikia punkrank disabled natatuajee....?? Pia nina Game ya PS 21 jinsi ya ku install imenishinda Nahitaji msaada. Sent from my SM-A125F using JamiiForums...
1 Reactions
3 Replies
658 Views
Rejea mada tajwa apo juu, haswa play station (PS). Nauliza upatikanaji wa PS (3,4au5) zinapatikana kwenye maduka gani ukuwa Arusha au Tanznia kwa ujumla na beii zake zikoje.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habarini za muda. Pc yangu ina shida naombeni msaada. Ni brand ya Toshiba satellite nilipewa na sstr tangu 2015 ambapo kabla ya hapo alikuwa anaitumia akiwa masomoni. Ilianza kuleta...
1 Reactions
7 Replies
735 Views
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Kwa wale wataalam wa smart watch naomba mnijuze hapa, hivi hizi saa huwa hazi display muda kwenye display yake hapa mpaka ubonyeze batan...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza[emoji115][emoji115], nini shida? Facebook lite haifinguki nikitumia WiFi, ila kwa MB za kawaida inafunguka bila shida yoyote, wajuzi njoeni! Sent from my TECNO...
0 Reactions
9 Replies
729 Views
kwa yeyote anaejua kifaa kinachoweza kupandisha network,kwa mfano upo eneo ambapo mtandao ni EDGE pekee uweze kupandisha hadi 3g au 4g,naomba mnisaidie jina la kifaa kama kipo na upatikanaji wake
0 Reactions
3 Replies
571 Views
Windows 8.1 pro,nikienda huko kwenye setting inataka niweke NEW PRODUCT KEY sasa mimi sina hizo new product key,nazipataje na je ikifikia tarehe ya ku expire sitapoteza vitu vya humu kwenye hii...
0 Reactions
4 Replies
964 Views
The 5 Best Free Website Builders Wix – Best for most. Weebly – Best free website builder for small business owners. WordPress – Best free website builder for blogging. Strikingly – Best free...
0 Reactions
3 Replies
710 Views
Habari za humu wadau natumaini ni wazima kwa ambao awapo vizuri kiafya ama majanga tuendelee kuwaombea heri wamalize mwaka huu salama Jukwaa hili sijaingia muda mrefu sana nilipata mambo mengi...
1 Reactions
3 Replies
885 Views
Back
Top Bottom