Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kumekuwa na uzushi ambao ukiachwa kwa muda mrefu basi ndio utaonekana ukweli. kwa namna moja au nyingine mti wenye matunda hupigwa mawe mengi na ndio hiki kinachowatokea wasanii wanaopta youtube...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu salama. Naomba kuuliza tatizo ni nini na sim card ya Tigo watu wanalalamika toka asbh wanapiga sipatikan lakin simu ipo on kwanini sipatikani? Sijawahi fanya setting zozote kwenye simu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Facebook itafuta alama za Sura (Faceprint) za Watu zaidi ya Bilioni moja baada ya kutangaza kuwa itaacha kutumia mfumo wake wa utambuzi wa Sura (Facial Recognition). Kumekuwa na shinikizo la...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu kati ya information system na information technology ipi course nzuri?
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Wakuu naombeni kujuzwa Dodom ni kampuni gani nzuri inayosambaza internert majumbani na kwa garama nafuu. Mana kuna kampuni wamenifungia naona hasara tu wameniuzia Mbps 2 ila naona hata hata Kbps...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba Kujua Wino wa Epson L3110 Printer kwa chupa zote nne ni Bei gani?
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Yatambue mambo kumi ambayo unaweza kufanya na Dawa ya mswaki tofauti na kupiga mswaki tuu. hii itakupa msaada na tips za usafi hapo home, ofisin au shuleni
7 Reactions
40 Replies
6K Views
Leo Nmeshangaaa au Labda mimi Ndo Sjui ,Nmeshangaa Line yangu ya Airtel Imesoma 4G+ hii kitu Imekaaje kwan Tanzania Washalaunch 4g+?
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimedownload App ya startimes kwaajili ya kuangalia bongo star search kwa baada mbaya situmii king’amuzi cha startimes Mtu anayetumia king’amuzi naomba unichek DM kuna kitu nataka anaisaidie
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Kama picha inavyojieleza hapo wakuu unaweza kuona hako kaalama ka duara katika hiyo line ya simu.Wajuzi wa masuala ya tech nijuzeni tafadhali hako ka alama kanamaanisha nini? Kuna saa kanatokea...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wapi naweza kupata pro evolution soccer 2017 ni idownload katika pc yangu icore 5 4gb ram 512mb graphics card
1 Reactions
78 Replies
17K Views
Ndugu nlkuwa naomba tofauti kati ya memory na storage. Halafu kwa nn App moja kwenye RAM na storage ya simu moja inakuwa na MB tofauti. Natanguliza shukran wakuu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna bidhaa nataka kununua aliexp ila naona fedex ndo wapo na wana bei Mkasi. Nawezaje kuwatumia kama hawa silent ocean au kampuni kama hizo?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu. nahitaji podcast ya kuingiza zaidi ya saa 1. sitaki zile za subdomain. aliye serious aje inbox tuyajenge. asante
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Habari wadau Hivi nifanye nini ili niweze kuandika kisahili vzr katika Microsoft Office application km ms word nakadhalika ukidownloadi Kiswahili languange pack na ukiiweka humo bado maneno mengi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa anayejua kuzitambua memory na flash original na fake! Pia naomba msaada kama unajua sehemu gan zinauzwa kwa Dar au Mbeya. Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wazee,habari Naombeni mnipe msaada wakunisaidia kutengeneza system ya shule kwani nimepewa assignment chuo nakazi inakuwa ngumu sasa. Ni simple Databese tu ndiyo inayotakiwa. kama mtakuwa nayo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari za muda. Wakuu naombeni msaada kwa yoyote mwenye PDF ya kitabu cha hiki cha (THE MINISTER'S DAUGHTER AND BEGWANI THE BEGGAR) kwa maana nimekitafuta sana bila mafanikio. Naimani ujio wangu...
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Hivi karibuni facebook walitangaza kuwa watabadili jina. Leo wametangaza jina lao jipya kuwa ni Meta. Meta ilikuwa initiative ya mke wa Mark, leo Facebook imebadili jina na kujiita Meta. Nguvu...
5 Reactions
52 Replies
6K Views
Habari wakuu... Kama tulivyokubaliana ni mwendo wa kusajili laini za TTCl tuamshe hii kampuni yetu ..imelala sana na meneja wa masoko kwenye hii kampuni cjui wanakwama wapi kumtumbua?? Enenwei...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom