Simu yangu ya samsung s6 imegoma kufunguka inahitaji backup password to unlock the device. Nifanyeje maana sikuwa na pasword yoyte zaidi ya kufungua kwa fingerprint.
Habari wana jamii Forum
Mimi bado najifunza coding sijaiva sana wala sio mtupu nimejifunza vitu vingi sana katika coding na nashukuru mungu mambo yanaenda vizuri sasa katika kujifunza nikaona...
HABAR WADAU hope wote mpo poa
Leo nina maswali mengi sana wadau nilitaka nifungue uzi mmoja niweke mada zote ila nikaona nitawachanganya wadau ngoja nifungue kila kitu na uzi wake uzi huu...
Wakuu salamu
Nina page yangu Facebook,kuna jamaa fulani hivi Nadhani ni wa nje ya Tanzania alinitumia sms WhatsApp akisema kuwa anataka awe anaweka matangazo kwenye Facebook page yangu na awe...
Facebook Inc. imepanga kubadilijina ili kuendelea kushikilia soko la mitandao ya kijamii.
CEO na Mmiliki wa kampuni hiyo, Mark Zuckerberg amesema atalitaja jinajipya Oktoba 28 katika mkutano mkuu...
Habari zenu wadau,
Natumain tu wazima, nlipenda leo tujadiliane juu ya app ya premise. Kwa kuanza tu hii ni app ya kupata vijipesa online haitajirishi ila ni ya kupata pesa za vitunguu tu...
Wakuu, habari za jumapili?
Niliamua ku-upgrade simu yangu kwenda Samsung S21 Ultra na ku-test the difference, nikanunua hiki chuma, aisee hii chuma ni habari nyingine.
Kwanza kiko smooth, hii...
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ametangaza mipango ya kuzindua mtandao mpya wa kijamii, uitwao TRUTH Social.
Amesema jukwaa hilo "litakabiliana na jeuri ya kampuni kubwa za teknolojia "...
Kama kichwa cha habari kinavyosema baada ya kubadili display simu yangu inachelewa kujaza moto yaani nimeweka usiku kucha lakin nakuta ina asilimia 52
Msaada kwa hii ishu simu ni Galaxy A02 KAVU
They are doing it again!
WhatsApp moja ya mitandao maarufu duniani ya kijamii, kuanzia jumatatu ijayo ya tarehe 1 November itasitisha kutumika kwake kwenye baadhi ya simu za iPhone na zimu za...
Habarini waungwana
Okay iko hivi wiki hii story kubwa ni kuhusu kampuni ya Anghami kuweza kuingia kwenye soko la Hisa la Marekani la NASDAQ na kuwa kampuni pekee ya Lebanon kufanikisha kuingia...
Wakuu nawasalimia kwa jina la Yesu
Wale wenzetu waislamu salaam aayqum.
Wakuu ivi kwa mtu anayesomea Bachelor of Science in Business Information Technology anafaa awe na PC gani?
Budget...
Mambo vipi wana jamvi, nna redio yangu LG xboom mini Hifi ina spika mbili sasa nilikuwa nna wazo la kutafuta spika zingine za JBL ili niunganishie kwenye hii redio nisiwe natumia hizi za Lg jee...
Wapendwa habari?
Mimi si muandishi mzuri ila naomba uvumilivu wenu na msaada kuhusu Gb WhassApp.Hoja ni kwamba hivi karibuni mke wangu alibadilisha app yake na kuweka Gb WhatsApp.Siku za nyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.