Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakubwa hongera kwa ujenzi wa Taifa, Natafuta laptop kwaajili ya kusomea na Gaming Brand Hp, Dell au Lenovo. Budget yangu ni lak3
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wandugu habari za mchana hivi kuna benki yeyote inayokubali kufungua akaunti kwa namba ya nida maana mimi nina namba ya nida tu sina kitambulisho chochote wala leseni Msaada hapo wakuu
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina computer huwa inafanya kazi Ila Kama baada ya masaa hata saba inazima yenyewe, halafu baada ya muda inawaka tena ,tatizo linaweza kuwa ni nini? Inatumika kwenye video library.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa mfano io Samsung smart tv Neo Qled 8k bei yake inch 65 ni Tsh 11500000... Kwa wale wataalamu wa ma smart tv kwann hii bei iko juu sana?
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Salam wakuu, Hivi kwa nyie wenzetu developers, hakuna uwezekano wa kudevelop app ambayo vocha badala ya kukwangua una scan barcode inaingia fasta.
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Kile chombo kinapitaga angani kinaacha moshi flan kama mstari hivi mrefu kinaitwaje? Wengi tulikuaga tuna amini kwamba ni rocket lakini kuna jamaa hapa anasema sio rocket ila ye mwenyewe hajui...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wadau wa Jf Wakuu nahitaji msaada wa Application ya kutumia kurekodia video na clips kwenye simu Nahitaji App ambayo kutakua na uwezekano wa kurekodi video ya dakika mbili ila ujazo wa mb...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau nina Mtu nimemwajiri na nimempa Simu kwa Matumizi ya Ofisi.Naomba Kufahamisha App gani itanisaidia kujua anachopata kwenye Simu kuhusu Biashara yangu nina Hofu ya kudanganywa
1 Reactions
11 Replies
3K Views
zingatia haya unapokuwa kuwa kwenye intaneti Ni kweli kwamba mitandao ya simu kwenye intaneti ni ulimwengu mpya ambao una kila kitu endapo unajua mahali pa kuangalia na kutumia vizuri. lakini...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Mnaonaje Wadau, Serikali ikitunga sheria kuhusiana na wazo. Miaka ya 90 iliwezekana kwa zile chai/maharage, kutoka left hand drive to right hand drive
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Naombeni msaada wenu wakuu,namna ya kuondoa hawa virus.Ni takribani wiki moja sasa tangu nivamiwe na hawa viruse,niliwapata baada ya kuingia website kadhaa. Wamefunga files zangu zote za kwenye...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Nina nokia lumia 520 ila kila nikidownload apps kutoka kwenye store yao inaandika error code 80070490 nimeifanyia hard reset nikaingiza tena google account ila bado tu, nifanyaje ili niweze...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hello World Nipo katika hatua za mwisho za kukamilisha project yangu ya Blogging Platform ambayo itakuwa open source. Na haitakuwa kwa ajili ya blogs tu, bali inaweza kuwa Personal website...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habar ndugu zangu wa JamiiForums Naomba kuulizia hivi hzi game Za kisasa ambazo Mtu anavaa kichwan VR halafu anapewa controller mikononi kisha aanza kucheza hapa mjin Dar es Salaam znapatikana...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninafikiria nitakapokuwa na makazi yangu ya kudumu niwe na chanzo cha nishati ya kupikia ya biogass (nimeshindwa kupata kiswahili chake), ila sina maarifa ya kutosha kuhusiana na chanzo hiki dhidi...
2 Reactions
35 Replies
17K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nataka kununua simu moja wapo kati ya Samsung galaxy a72 na Iphone 11 so nahitaji mnipe ushauri kati ya hizo mbili nichukuwe ipi ambayo...
5 Reactions
75 Replies
10K Views
Leo nimepokea Ujumbe wa hii challenge. Binafsi sitapata nafasi ya kushiriki, nikaona ni vyema niwashirikishe wengine watakaokuwa na muda na wangependa kushiri. Naona kuna zawadi ya mpaka 3.5mil...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Akaunt yngu ni mda sasa inagoma ku apply, nikijaribu inaandika Failed na nina sifa zakutosha kuomba kaz za udereva. Kama kuna mwenye solution, naweza ata kuja ulipo kama ni Dar. Thanks.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
wakuu naombeni kujua bei ya external hard disc GB 300 dukani ni shilling ngapi coz nataka nikanunue ili nihifadhi vitu vyangu vya muhimu vya kazini.
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Habari ya uzima wakuu katika jukwaa la technolojia. Naomba mwenye ujuzi wa kwenye ms. excel anisaidie jinsi ya kuprint data zote kwenye “drop down menu” automatically kwa kutumia button moja. Au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom