Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Lenovo Thinkpad X230 very Slim pc Ram 8GB |Storage 500GB | Intel core i5 3rd generation | Processor 2.5Ghz(4CPUs)||| Games | graphics [emoji946]| Fast Processing PC Price 480k...
2 Reactions
2 Replies
872 Views
Nawasalimu nyote kwenye ukumbi huu kuhimu sana wa kupashana habari,matukio na ujuzi kutoka kwa wadau waliomo humu ndani. Mimi ni mwanachama mwenzenu japo si wa muda mrefu sana. Mimi ni mwajiriwa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari Wakubwa, Hongera kwa kazi kubwa ya ujenzi wa Taifa. Wakubwa niende kwenye Mada moja kwa moja wakubwa nina Laptop mbili Zote ni Hp Ellite book. 1:Hp ellitebooka 2760p Hii ipo kwenye hali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
#TatuZaJumatatu AI | Robotics | Machine AI ‘Artificial Intelligence’ AI ‘Artificial Intelligence’ ni sehemu ya computer science inayohusika na utengenezaji wa machines zenye kufanya jambo kwa...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
WanaJF nisaidieni kwa hili, nilikua natafuta hii laptop HP SPECTRE 360X yenye specifications hizi: na nmejaribu kuangalia wauzaji nmekutana na mkanganyiko mana Bei yake inakua 1.8 M wengine 2 M ...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari wakuu tafadhali naomba msaada nina modem 2 nilikuwa nazi flash moja imeishia njiani yaani hakumaliza ku sahisha faili lake ambayo ni huawei e3531 nyingine ilimaliza lakini nikiweka laini...
0 Reactions
3 Replies
775 Views
Hello guys. Nahitaji Yoyote anayeweka game kwa PC au anayeweza kunisaidia Game la FIFA 19. Nipo Dar es Salaam Ubungo Chuo kikuu. Nina shida na hilo game. Naombeni mnisaidie mkiweza.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuuliza hard disc za hii kampuni ni nzuri kabla ya kuichukua ,mwenye uzoefu nayo plz
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nime download Photoshop zaidi ya mara tano kila nikifungua inaniletea huu ujumbe Na nikiifungua manually inaniletea option ya kulipia ingawa niliyodaownload ni cracks
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habar zenu wapendwa, Mimi naombeni msaada wa maelekezo jinsi ya kuweka au kuset play store kwenye simu ya Samsung.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nisaidieni namna ya kutengeneza wifi network yangu mwenyewe bure high speed nimejaribu kusearch YouTube (experiment army) lakini sijafanikiwa. Kama kuna aliye na concept anisaidie pls[emoji120]
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Kama title inavojieleza, nahitaji kuinstall custom rom kwenye kimeo changu sony xperia z3 compact, specifically rom yenyewe ni Lineage Os. Changamoto ni moja hii simu bootloader yake ni...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Katika dunia ya sasa ambapo kwa sehemu kubwa tunahitaji simplicity nawapongeza Vodacom M-Pesa kwa kuachia API zao za M-Pesa ili developers mbalimbali kuweza kutengeneza products ambazo zitakuwa na...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari za humu wadau, Ninatafuta ISP ambaye anaweza kutoa huduma ya internet kwa njia ya satellite. Tafadhali kama kuna mtu anaweza nisaidia humu itakuwa vizuri pia maswali yafuatayo: 1. Je...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba kuuliza wakuu, kwa wale mliopo Dar Kuna jengo karibu na Mlimani City linapangishwa je Kuna huduma za Internet ya fiber maeneo zimefika huko?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Computer yangu inaandika hivi, nifanye nini hapo au tatizo ni nini hapo?
0 Reactions
9 Replies
949 Views
Natumia sana halotel kwenye kivurushi vya internet sasa nataka kupata smartphone ya bei rahisi ili niwe naunganisha kwenye PC maana moderm zinazingua. Au hata kama kuna simu tu isiyo ya halotel...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Naona watu wanazikimbilia sana na wameanza kunishawishi nijaribu ila vipi ubora wake. Chaji Camera Storage Vifaa in case ikitokea imeharibika USSR
1 Reactions
18 Replies
5K Views
𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗲𝗻𝘂 𝘄𝗮𝗱𝗮𝘂 𝘄𝗮 𝗧𝗲𝗰𝗵. 𝗡𝗮𝗼𝗺𝗯𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘂𝘇𝗼𝗲𝗳𝘂 𝗵𝘂𝗺𝘂 ,𝗮𝗻𝗶𝘀𝗮𝗶𝗱𝗶𝗲 𝗣𝗖 𝘆𝗮𝗻𝗴𝘂 𝗻𝗶𝗹𝗶𝗸𝘂𝗮 𝗻𝗮𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝘂𝗽𝗱𝗮𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝘄𝗶𝗻𝗱𝗼𝘄 ,𝗯𝗮𝗮𝗱𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗶𝘀𝘁𝗮𝗹𝗹𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 . 𝗣𝗖 𝗶𝗺𝗲_𝗳𝗿𝗲𝗲𝘇𝗲 𝗺𝗽𝗮𝗸𝗮 𝗺𝘂𝗱𝗮 𝗵𝘂𝘂 𝗻𝗮 𝘀𝗶𝗷𝘂𝗶 𝗰𝗵𝗮 𝗸𝘂𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮.
1 Reactions
9 Replies
653 Views
Wakuu habari za weekend. Nina ZTE router ya vodacom model R207-Z. Nataka ni unlock ili nitumie SIM card za mitandao yote Pls. Kwe yeyote mwenye idea au experience kwenye hii kitu anisaidie Tanx in...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom