Habari,
Kuna hili swali, la kama kuna uwezekano wa mtu kusikiliza simu zako, je, utajuaje kama zinasikilzwa au meseji zinasomwa...na ukijua unawezaje itoa?
Kwanza, issue nzima inaitwa, "Call...
Nina mpango wa kuanzisha app and website ya online learning kutoa course mbalimbali.
Nimetafuta developer hapa bongo kwa kweli bei zao zipo juu sana. Wenye uwezo mzuri wamenipa bei ya mpaka...
With iOS 15, your iPhone is still traceable through the Find My network even when the device is powered off. It seems that with iOS 15, the phone is not really fully ‘powered off’, it stays in a...
Nimefanya Jaribio la Kuunda Forum Ya Ujuzishare
BONYEZA HII LINK HAPA UjuziShare
Ni Forum ya kushare ujuzi alionao mtu katika vipengele mbalimbali na naomba muijaribu katika mambo yafuatayo...
Habari Wana JF,
Siyo Kila anayehitaji Android App Kama ya News, Chating,Live Tv ana Haja ya yeye Kujua Programing au Coding.
Inabidi Totofautishe Kati ya Kazi na Mahitaji, Programing au Coding ni...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinachojieleza huu Uzi maalum kwa wale wote wenye maswali kuhusu jinsi ya kumiliki website au app kwa ajiri ya biashara yako
Vitu unavyopaswa kuvifahamu...
Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga...
Walimu wenye fani mbalimbali kuweza kufundisha hata private na kusolve changamoto mbali mbali basi ni vyema kujulikana kwa uzi huu.
Hasa walimu wa:
1.Data base
2.Software engineering...
Jamani wataalamu wa data base nikikuwa na submit data kwenye data base kwa kutumia html form
Kila niki submit inaleta fetal error
Kam hivo mimi bado najifunza ko nambie tatizo nifahamu
Fahamu mambo muhimu kuzingatia kujua kama simu yako ni Fake au original
sio rahisi mtu kujua kama simu uliyonunua ni fake kwa mara ya kwanza ukiona maana inaonekana kama original. ila leo...
Habari waungwana!
Kuna muda nilikuwa nafanya kazi then umeme ukakatika.
Baada ya umeme kurudi nilipojaribu kuwasha, monitor ikawa haioneshi chochote. Baada ya ya karibu dakika moja hivi, feni...
Wana jf. Nilikuwa naomba nlmnisaidie kitu hiki.
Mfano nina matokeo nimeinguza kwenye exel labda A C B B B C C B C B sasa nataka nijumlishe points za hayo matokeo kwenye exel kwa kutumia kanuni...
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada wa kujua aina gani ya Iphone ni nzuri ambayo bei yake ni kati ya laki 5 mpka laki 6? Simu ambayo ina storage kubwa (64GB above) na camera yake ni nzuri...
Mwanzo lilikuwa linatumia umeme wa kawaida tu ila baadae likaharibika likawa halileti ubaridi ikanibidi nimuite fundi ambaye baada ya kulitengeneza yaani ukiliwasha nusu SAA tu umeme unit 8...
Leo nmetoka sehemu A to B. Njia za shotcut sizijui fresh so nkaandika kwenye google map.
Imenionesha njia kibao na ni za uchochoro mno.. najiuliza hii inawezekanaje??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.